• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Rc Wangabo Akabidhi Pipiki 12 Kwa Maafisa Tarafa .

Posted on: May 19th, 2020


Mkuu wa mkoa wa Rukwa Joachim Wangabo amewaagiza maafisa Tarafa katika Halmashauri zote za mkoa huo kuwabaini kisha kuwachukulia hatua kali za kisheria watendaji wote wa vijiji walioshindwa kuwasilisha fedha za mapato ya  ndani kiasi cha shilingi milioni 911.5 na kuzitumia katika matumizi binafsi huku akiwaonya maafisa hao kuto tumia pikipiki walizokabidhiwa na serikali katika shuguli za bodaboda.

Ameyasema hayo wakati akikabidhi vyombo vya usafiri wa piki piki  kwa  maafisa tarafa wote wa mkoa huo ikiwa ni utekelezaji wa ahadi ya mh .Rais wa  Jamhuri ya Mungano wa Tanzania Dr. John Pombe Magufuli aliyoitoa tarehe 4 June 2019 baada ya kukutana na maafisa  hao Ikulu jijini Dar es Salaam.

‘’       Ni imani yangu kuwa maafisa tarafa mtakapo kabidhiwa pikipiki hizi mtazitumia kuwasimamia maafisa watendaji wa kata na vijiji kwa karibu zaidi kwani wapo chini yenu kiuwajibikaji. Hakikisheni kuwa mapato yote wanayokusanya wanayapeleka benki. Bado baadhi yao sio waaminifu kabisa, wamekuwa wakichukua fedha za serikali na kuzitumia bila kuzipeleka Benki.’’ Alisema Wangabo.

Aliongeza kuwa kwa mujibu  wa taarifa za mfumo wa kukusanyia mapato kwa njia ya kielectroniki (Local government Revenue Colletion information system LGRCIS  hadi tarehe 30 Aprili 2020, fedha ambazo bado ziko mikononi mwa wakusanya  mapato katika halmashauri zote za mkoa wa Rukwa ni shilingi 911,511,525.00.

Katibu tawala mkoani humo Benadi Makali, amesema jumla ya piki piki 12 zimekabidhiwa.

‘’Mkoa wa Rukwa umepatiwa pikipiki 12 kwa tarafa zote ambazo zilikuwa hazina vitendea kazi hivyo ikiwa ni pamoja na Matai, Kasanga, Mwimbi, Mwazye, Mambwenkoswe, Itwelele , kipeta , Mtowisa, Chala, Kate, Namanyere na kwamba pikipiki hizo zimefanyiwa usajili ili kuwawezesha maafisa tarafa kutekeleza majukumu yao ya kila siku. ‘’Alisema Makali.

Mkoa  wa  Rukwa  una  vijiji 339 , kata 39  zahanati 201 na  vituo vya  afya 24 hivyo  kutolewa  kwa  vifaa  hivyo  kutawarahisishia maafisa  hao kufika  kwenye  maeneo  hayo  kwa  wakati.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.