• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Rc Wangabo Ataka Wanaoshindwa Kurejesha Fedha Za Mikopo Kuchukuliwa Hatua

Posted on: July 1st, 2020


HALMASHAURI ya Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa imefanikiwa kukusanya shilingi bilioni 3, kufikia jana katika makusanyo ya ndani ya bajeti ya mwaka wa fedha 2019/2020 wakati makisio ilikuwa ni kukusanya jumla ya shilingi bilioni 2.432.

Mkurugenzi wa halmashauri hiyo, Jacob Mtalitinya aliyasema hayo jana katika hafla fupi ya kukabidhi mikopo kwa waendesha boda boda wa kikundi cha New boda boda Saccos cha mjini Sumbawanga ambapo walikabidhiwa boda boda 35 pamoja na fedha kwa vikundi 14 vya watu wenye ulemavu na mikopo yote ikiwa na thamani ya shilingi milioni 110.6.

Mkurugenzi huyo alisema kuwa mikopo hiyo ni utekelezaji wa sheria ya kutoa mikopo ambapo asilimia 10 ya makusanyo ya ndani inapaswa kutolewa mikopo kwa makundi maalumu ya wanawake,vijana na watu wenye ulemavu ambapo hivi sasa imetolewa ikiwa ni robo ya nne ya mwaka wa bajeti 2019/2020.

Alisema kuwa tangu mwaka wa bajeti unaolekea ukingoni ulipoanza halmashauri hiyo imetoa mikopo hiyo isiyo na riba kwa makundi hayo na jumla ya shilingi milioni 235.1 zimekwisha tolewa na jumla ya mtu mmoja mmoja 378 wamekwisha nufaika na mikopo hiyo.

Mtalitinya alisema kuwa hilo limewezekana kutokana na wananchi wa kujua umuhimu wa kulipa kodi na ushuru,fedha hizo zimewezesha mikopo hiyo kutolewa kwa watu wengi na mpaka kufikia mwisho wa mwaka huu halmashauri hiyo itafunga hesabu ikiwa imefanikiwa kukusanya shilingi Bilioni 3.2 zaidi ya asilimia mia moja ya makisio ya makusanyo kwa mwaka huu.

Kabla ya kukabidhi mikopo hiyo mgeni rasmi katika hafla hiyo,mkuu wa mkoa wa Rukwa Joachim Wangabo alisema kuwa pamoja na jitihada nzuri iliyofanyika ya kutoa mikopo hiyo,bado kuna tatizo kubwa kwa wanaopewa mikopo hiyo la kurejesha kwani takwimu zinaonesha kuwa katika mwaka wa fedha wa 2018/2019 ilitolewa mikopo ya shilingi milioni 253.2 na zilirejeshwa shilingi milioni 128.2

Katika mwaka wa fedha 2019/2020 halmsahuri hiyo ilitoa pia mikopo yenye thamani ya shilingi milioni 124.4 lakini fedha iliyorejeshwa ni shilingi milioni 25.3 sawa na asilimia 20 hivyo kuna kazi kubwa ya kuwabana watu wanaochukua mikopo hiyo warejeshe na watambue kuwa mikopo hiyo siyo zawadi na wale wote ambao ni wasumbufu wachukuliwe hatua za kisheria.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.