• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Rc Wangabo Atoa Siku 30 Wakuu Wa Wilaya Kuanzisha Klabu Za Wapinga Rushwa

Posted on: January 25th, 2020


Mkuu wa mkoa wa Rukwa,Joachim Wangabo ametoa mwezi mmoja kwa wakuu wa wilaya wa mkoa huo wahakikishe shule zote za msingi na sekondari zinaanzisha klabu za wapinga Rushwa lengo ni kuwawezesha wanafunzi kuwa wadilifu na viongozi bora wa badaye.

Akiongea kwa niaba ya mkuu wa mkoa huo, mkuu wa wilaya ya Sumbawanga Dkt, Halfan Haule wakati akifungua mafunzo ya kuwajengea uwezo wa kukabiliana na rushwa walimu wa shule za msingi na sekondari pamoja na maafisa elimu mkoani humo,alisema lengo la serikali ni kutokomeza kabisa vitendo vya rushwa.

"kupitia hadhara hii ningependa kutoa wito kwa wakuu wa wilaya zote katika mkoa kuhakikisha kila shule ya sekondari na msingi katika wilaya husika inakuwa na klabu ya wapinga Rushwa na taarifa ya utekelezaji niipate kabla au ifikapo mwishoni mwa mwezi februari" alisema.

Alisema kuwa katibu tawala wa mkoa ahakikishe maelekezo haya yanawafikia wakuu wa wilaya kwa barua rasmi na nakala ya barua niione kwenye jalada.

Alisema ili watoto na vijana wawe viongozi bora na wadilifu ,ni lazima malezi yaanzie ngazi ya familia na kuendelezwa shuleni hasa shule za awali , msingi na sekondari.

Mkuu wa  TAKUKURU mkoni humo,Hamza Mwenda, alisema Rushwa ni uozo wa kimaadili.

"maadili ni siraha muhimu katika mapambano dhidi ya rushwa kutokana na ukweli kwamba rushwa ni uozo wa kimaadili na maadili kwa maana ya mwenendo mwema hujengwa ndani ya mtu tangu anapozaliwa alisema Mwenda.

 Hata  hivyo  mafunzo  hayo yameshirikisha  walimu  walezi wa shule  za  msingi na sekondari pamoja na maafisa  elimu katika shule zote  za 

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.