• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Rc Wangabo Azindua Shamba la Mkulima Wilayani Kalambo. Awataka Wananchi Kulima Kilimo Chenye Tija.

Posted on: December 4th, 2019

Wakulima mkoani Rukwa wamelalamikia kukosekana kwa pembejeo pamoja na bei elekezi katika msimu huu wa kilimo hali inayotia hofu kutopata mavuno  makubwa kutokana na wakulima wengi kulima bila kutumia pembejeo na kuiomba  Serikali kuweka utaratubu maalumu wa kusambaza pembejeo kabla ya msimu  kuanza.

Wakiongea wakati wa uzinduzi wa baadhi ya mashamba katika  kijiji cha Kalalasi Wilayani Kalambo yaliozinduliwa na Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mhe. Joachim  Wangabo.

Walisema wamekuwa wakikabiliwa na changamoto ya kucheleweshewa kwa   pembejeo za kilimo na kuwalazimu kutumia pembejeo ambazo si bora.

Walisema serikali haina budi kuweka utaratibu maalumu ambao utawawezesha  kupata  pembejeo mapema kabla ya msimu kuanza .

‘’Tunaiomba Serikali kuanzisha utaratibu mzuri ambao utatuwezesha kupata  pembejeo mapema kwani kila mwaka pembejeo hususani mbolea na mbegu  zimekuwa zikiletwa kwa kuchelewa sana.”

Aidha, waliipongeza serikali mkoani humo kwa kuweka utaratibu wa  kuwatembelea mashambani na kuwa utaratibu huo utawasaidia kwa  kiasi  kikubwa  kuhamasika  na kulima kilimo bora na chenye tija.

Afisa kilimo Mkoani humo Ocran Chengula, alisema pembejeo za kilimo zipo za kutosha na kusema shida ni wakulima wengi  kuwa na mazoea ya kununua pembeo pindi  msimu  wa  kilimo  unapoanza.

‘’Pembejeo zipo za kutosha, tatizo ni kwamba  wakulima  wengi  wamezoea    kununua  pembejeo  wakati msimu unapoanza ilihali  kwenye  maduka na maghara  ya pembejeo katika misimu yote zinakuwa zipo, hivyo  wakulima  mjipange  mnaweza kununua pembejeo muda na wakati wote badala ya kusubiri  kuanza kwa  msimu, alisema Chengula.

  Awali akikagua mashamba ya wakulima Wilayani Kalambo, Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mhe. Joachim Wangabo, aliwasihi wakulima kulima kilimo chenye  tija  na ambacho  kitawasaidia  kujikwamua  na hali  ya kiuchumi.

Alisema kila  mkulima  anawajibu  wa  kuwatumia  wataalamu  wa  kilimo kwenye maeneo husika ikiwa  ni pamoja na kutumia  mbolea  na viuatiulifu kwa lengo la  kupata mavuno mengi.

‘’Endapo tukifanya  hivyo tutaweza  kufikia  malengo  yetu  ya  kimkoa  ambapo  mwaka jana tulikuwa  na  tani laki nne na  tisini na nne  na mwaka  huu  tunataka  kufikia tani laki saba za mahindi  peke  yake, lakini tutaweza  kufikia  kiwango  hicho endapo tutalima kilimo chenye tija.” Alisema Wangabo.

 

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.