• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Sehemu Ya Maporomoko Ya Kalambo Yateketea Kwa Moto. DC Ataka Wahusika Kukamatwa.

Posted on: October 21st, 2019


Sehemu ya msitu wa hifadhi ya maporomoko ya mto Kalambo mkoani Rukwa imeteketea kwa moto na kusababisha hasara kubwa ikidaiwa kuwa moto huo ulitokea katika kijiji cha kipwa kilichopo mpakani mwa nchi yaTanzania na Zambia na hivyo kuambaa hadi kwenye kingo za hifadhi iliyoko upande waTanzania.

Akithibitisha tukio hilo, Afisa mistu Msaidizi katika eneo hilo Moses Kazimoto, amesema moto huo umeharibu miundo mbinu ikiwemo bomba za maji pamoja na uoto wa asili ambao kiikolojia ni kivutio kikubwa, na kuwataka wananchi kuilinda hifadhi hiyo kwa bidii kwani ni sehemu ya urithi wa nchi.

 Mkuu wa Wilaya ya KalamboJulieth Binyura amesema atawachukulia  hatua kali za kisheria wale wote watakao bainika kuhusika na tukio hilo na kuwataka wananchi kujenga utamaduni wa kuzima moto kila unapozuka pamoja na kutoa taarifa kwenye uongozi ili hatua za haraka zichukuliwe. 

‘’Moto umeharibu kabisa uoto wa asili kama tunavyo ona, nachukua fursa hii kuwa asa wananchi kufanya kazi zao kwa makini na kuepuka kuchoma moto hasa wakati huu wa maandalizi ya mashamba.Tujue kuwa kwenye hifadhi hii kuna wanyama wengi wakiwemo Tembo ambao hupata shida kubwa na wakati mwingine kuangamia kwa majanga kama haya ya moto.

‘’Upande wetu sisi kama Serikali Wilayani Kalambo, tunapinga vikali tabia hii na tunasema wazi kuwa hatuta sita kuchukua hatua kali za kisheria kwa mtu yeyote atakayebainika kufanya hujuma hii.’’

Maporomoko ya mto Kalambo ni ya pili Afrika kwa urefu kutoka maji yanapoanzia kumwagika hadi yanapodondokea kwa mita 235 na upana wa mita 3.6 hadi mita18.Hivyo  yakitunzwa  vizuri watalii kutoka sehemu  mbalimbali watafika na hivyo kukuza uchumi hasa wakati huu ambapoTanzania inajiandaa kuingia kwenye uchumi wa kati .

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.