• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Serikali Wilayani Kalambo Yatoa Onyo Kali Kwa Wauzaji Wa Pembeo za kilimo.

Posted on: November 20th, 2019


Wakulima wilayani Kalambo mkoani Rukwa wamelalamikia kucheleweshwa kwa pembejeo pamoja na bei elekezi katika msimu huu wa kilimo hali inayotia hofu kutopata mavuno kutokana na wakulima wengi kulima bila kutumia pembejeo.

Mmoja wa wakulima hao Samu Mwasomola, alisema kuwa kumekuwepo na changamoto ya upatikanaji wa pembejeo za kilimo kitendo kinachopelekea wakulima kutumia mbegu zisizo faa na zisizo na ubora.

Naye Edwini Mwasabwite, alisema kuwa wanaiomba serikali kuwa na mazoea ya kuwahisha pembejeo za kilimo kabla ya msimu kuanza kwa lengo la kuwawezesha wakulima kupata mazao mengi na kuondokana na adha ya kutumia pembejeo zisizo na ubora.

Naye kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Kalambo Nikoraus Mrango, alisema kuwa serikali imesambaza pembejeo za kilimo katika maduka yote yanayouza pembejeo sambamba na kutoa bei elekezi.

Alisema kuwa kinachofanyika hivi sasa ni kukagua kama pembejeo hizo zinawafikia wakulima na kuwataka wakulima kutoa taarifa endapo kuna changamoto zinazowakabili katika maeneo  yao husika.

‘’tutachukua hatua kali kwa mujibu wa sheria endapo kuna wauzaji wa pembejeo watakao bainika kukiuka taratibu wakati wa kuwauzia pembejeo wakulima’’alisema Mrango.

Awali akiongea  kupitia madhimisho ya msimu wa  kilimo mkuu  wa wilaya ya Kalambo Julieth Binyura aliwataka watendaji wa Halmashauri hiyo kusimamia  na kuhakikisha  wauzaji   wa pembejeo  wanauza pembejeo za kilimo kwa bei elekezi.

Pia alisema wilaya inaendelea kusisiza wakulima kulima kibiashara mazao mbalimbali ikiwemo Alizeti na kahawa ili kuongeza wigo wa mazao yanalimwa na kupunguza utegemezi kwenye zao la mahindi ambalo wakati mwingie bei yake imekuwa haitabiliki.

Hivi karibuni mkoa wa Rukwa ulizindua msimu mpya wa kilimo  kwa mwaka 2019/20 na unakusudia kulima hekta 603,637.13 za mazao mbalimbali ili kuhakikisha wananchi wanakuwa na uhakika wa chakula.

Mwisho

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.