• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Serikali Ya azimia Kupandisha Thamani Ya Samaki Wanaovuliwa Katika Ziwa Tanganyika.

Posted on: July 17th, 2019


  • Wizara ya mifugo na uvuvi hapa nchini imesema inategemea kuanza kuboresha miondombinu ya soko kuu la samaki Kasanga lilipo wilayani kalambo mwambao wa ziwaTanganyika mkoani Rukwa ambalo litahudumia zaidi ya wananchi elfu kumi na nane wa kata za kasanga naSamazi kwa lengo la kusaidia kuboresha uchumi wa wananchi pamoja na kuongeza thamani ya samaki.

Mradi wa ujezi wa soko la Samaki kasanga ulianza kutekelezwa mwaka mwaka 2009 na kukamilika  mwaka  2011 na kugharimu  kiasi cha zaidi ya shilingi millioni 876 na huku lengo kuu la mradi huo  ikiwa ni kupata wanunuzi wa uhakika wa samaki wa ndani na nje ya nchi pamoja na kusaidia kuongeza pato la halmashauri na serikali kuu.

Akisoma taarifa   fupi juu  ya mradi  huo  mkurugezi mtendaji  wa halmshauri  ya kalambo Msongela Palela alisema ukosefu  wa miondombinu ya barabara pamoja na umeme umekuwa  kikwazo  kikubwa  kutofanyika  kwa  biashara maeneo  hayo .

‘’kumekuwa  na changamoto ya walengwa kutokuwa na elimu ya  kutosha juu ya  uvuvi endelevu unaozingatia tija na mazingira ya ziwa Tanganyika na mwambao wake kwa ujumla, pia uhaba wa zana na vifaa vya vya uvuvi hali inayopelekea soko kutokamika kwa  kiwangokinachostahili’’alisema palela

Alisema  kukamilka kwa miundombinu iliosalia kutawezesha kukidhi mahitaji ya  soko la ndani na nje ya nchi kwa kiwango kikubwa kinachotakiwa kwa kufuata  sheria.

Katibu  tawala  wilayani  humo Frank Sichalwe amesema  tayari  wamefanya mawsilino na shirika la  Tanesko na wamekubali  kupeleka umeme kwa gharama zao kwenye maeno hayo.

‘’julay  saba 2019 naibu  waziri  wa tamisemi  alifika  katika  maeneo  hayo lakini  baada  ya kuondoka  tu shirika  la  tanesiko  nalo  lilifika na vifaa vyote  tayari  kwa  kuweka  umeme  maeneo  haya, hali hii inasaidia  kujenga  imani  kwa  wananchi  kuona  serikali  inawatimizia mahitaji yao kwa muda muafaka.’’alisema sichalwe.

Awali akikagua mradi wa soko  hilo katibu  mkuu wizara ya mifugo na uvuvi DKT Rashid Tamatama  amesema  lengo  la  kujengwa  kwa  masoko  hayo  ni kuongeza  thamani  ya samaki  wanavuliwa  kwenye  ziwa  Tanganyika.

Alisema  kukamilika kwa miundombinu iliosalia kwenye maeneo hayo kutasaidia  kwa  kiasi kikubwa  kuongeza  thaamani ya samaki  ambao wamekuwa  wakivuliwa  kwenye ziwa  hilo.

Licha  ya  hilo  katibu  huyo  ametembelea  na kukagua  uendeshwa wa kiwanda cha  samaki muzi  kichopo  mwambao  wa  ziwa  hilo.

 

 

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.