• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

SERIKALI YAANZISHA KAMPENI UTOAJI KINGA DHIDI YA MAGONJWA KWENYE MIFUGO.

Posted on: September 2nd, 2025

Serikali imeanzisha kampeni ya utoaji wa kinga dhidi ya magonjwa mbalimbali ya mifugo na utambuzi kwa kuweka hereni za kielekitronic kwenye mifugo hatua itakayo Saidia kutomkomeza magonjwa ya homa za mapafu.

Mkuu wa wilaya ya Kalambo Dkt Lazaro Komba kupitia uzinduzi wa kampeni hiyo iliofanyika katika kijiji cha Katuka kata ya Msanzi wilayani humo amesema licha ya zoezi hilo linahusisha uchanjaji wa kuku na mifugo jamii ya ng’ombe dhidhi ya ugonjwa wa homa ya mapafu.

Aidha ametumia fursa hiyo kuwataka wafugaji kuzingatia chanjo kwenye mifugo yao ikiwa ni Pamoja na kufuga kwa tija ikiwemo kuzalisha mbegu bora ambazo zitawawesha kuinuka kiuchumi.

Kwa upande wake Mganga mkuu wa mifugo wilayani humo Dkt. Enos Luvinga amebainisha kuwa lengo la serikali ni kupunguza gharama za matibabu, vifo vya mifugo ikiwa ni Pamoja na kuongeza upatikanaji wa mazao yatokanayo na mifugo ikiwemo nyama na maziwa ambayo husaidia kuboresha afya ya mwili.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • SERIKALI YAANZISHA KAMPENI UTOAJI KINGA DHIDI YA MAGONJWA KWENYE MIFUGO.

    September 02, 2025
  • KALAMBO YAKWAMA KUENDELEA NA ROBO FANAIL MASHINDANO YA SHIMISEMITA JIJINI TANGA

    August 26, 2025
  • RC ATAKA WATAALAMU KUTOA ELIMU YA LISHE

    August 08, 2025
  • RC RUKWA AFURAHISHWA NA UTOAJI WA UNGA WA SAMAKI KWA WATOTO.

    August 06, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.