• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Serikali Yafunga Machio Ya Nyama

Posted on: January 13th, 2020


SERIKALI nchini imefunga machio ya nyama katika manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa kutokana na kutokidhi vigezo ya kuwa kalo ya kuchinjia mifugo.

Akifunga machinjio hayo Kaimu msajili wa bodi ya nyama nchini,Imani Sichwale,amesema kuwa kalo hiyo ya mifugo haina vigezo vya kuhifadhia nyama na kusema kuanzia sasa inafungwa rasmi.

‘’kalo hii haina vigezo na kibaya zaidi imejengwa katikati ya mji hivyo kuanzia leo imefungwa na mkurugezi atawatafutia njia mbadala.’’alisema

Alisema kwa kawaida nyama haitakiwi kugusa chini wala kuchinja mifugo ikiwa chini kwani kwa kufanya hivyo kunafanya walaji wa nyama kula nyama chafu.

Alisema kuwa Manispaa kutumia kalo kama machinjio ni kosa na kusema kuwa suala hilo atalipeleka kwa mkurugezi ili awatafutie wachinjaji sehemu mbadala ya kuchinjia mifugo yao.

Kwa upande wa wakazi wa manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa wamelalamikia kufungwa ghafla kwa muda usiojulikana machinjio ya mifugo ya Manispaa hiyo kitendo kitakacho sababisha kukosekana kwa kitoweo cha nyama katika mji huo.

Wamesema kuwa machinjio hayo ndiyo yanayotegemewa na wakazi wa Manispaa hiyo kwa na kufungwa bila kuwa na eneo mbadala kunaweza kusababisha kukosekana kabisa kwa kitoweo cha nyama, hivyo kuiomba serikali kuteua eneo mbadala ili kuwawezesha wakazi hao kuendelea kupata kitoweo kama ilivyo kuwa hapo awali.

Alex mwita ni mmoja wa mkazi wa mji wa Sumbawanga, alisema kuwa serikali haina budi kuweka utaratibu maalumu utakao wawezeaha wao kupata kitoweo hicho kwani walikuwa wamezoea kwenda kununua nyama kwenya machinjio hayo lakini kufungwa kwake kutafanya kukosa mboga ya kutumia majumbani.

"Machinjio imefungwa ghafla sana,nafikiri kwamaoni yangu serikali ingetafuta njia mbadala ya kutunusuru na suala hili kwani hatuelewi tutapata wapi tena kitoweo cha nyama kutokana na kuwa awali tulikuwa tukitegemea hapa’’ al

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.