• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Serikali Yawahakikishia Wananchi Kukarabatiwa Kwa Madaraja Yote .

Posted on: March 24th, 2020


SERIKALI mkoani Rukwa imesema imejipanga kufanya ukarabati wa madaraja yote yaliyoharibika yakiwemo ya vijiji vya kata ya Mbuluma Wilayani Kalambo na mtaa wa Kasisiwe Manispaa ya Sumbawanga na huku ikiwasisitiza wananchi kuto pita maeneo yenye maji mengi kwa lengo la kuondokana na matatizo yasiokuwa yalazima.

Hatua hiyo inakuja kufutia Mvua kubwa zinazo endelea kunyesha mkoani humo na   kusababisha adha kwa wananchi ikiwa ni pamoja na vifo vya watu wawili katika vijiji vya Kanyalakata na Chisenga Wilayani ya Kalambo, tukio  lililo ambatana na kubomoka kwa nyumba saba katika kata ya Kasanga huku ikisababisha kukatika kwa mawasiliano ya barabara ya Kasisiwe katika Manispaa ya Sumbawanga na kupelekea mama mja mzito kujifungulia vichakani baada ya mto huo kujaa maji na kushindwa kupita akiwa njiani kuelekea hospitalini.

Kalambodc imezungumza na meneja wa wakala wa barabara za vijijini  na mijini  TARULA  mkoani humo Seth Mwakembe na kusema yafuatayo;

‘’Nikweli katika kipindi hiki cha masika Tanzania imekumbwa na mafuriko katika maeneo mbalimbali na sehemu kubwa imeathiri  ni miundo mbinu ya madaraja. Lakini mpango wa serikali ni kuyakagua  madaraja yote na kuangalia uharibifu kwa lengo la kuyakarabati ili yapitike .

‘’Kuna maeneo yameathirika kwa kiasi kikubwa kuliko hata madaraja ya  Mbuluma na Kasisiwe hivyo niwatake wananchi kuendelea kuwa  wavumilivu  wakati  Serikali ikijiandaa kufanya ukarabati  huo ikiwa  ni pamoja  na kuto pita  sehemu  zenye  maji mengi au kusubiri  maji  yapungue ndipo  wavuke.’’ Alisema  Mwakyembe.

 Akiongea kwa niaba ya Serikali, Mkuu wa  Wilaya  ya Kalambo Julieth Binyura, aliwataka wananchi kuwa makini  katika  kipindi  hiki kwa  kuacha maji yapite ndipo  wavuke  kwenye mito iliyojaa ili kuepukana na matatizo  yasiyo  kuwa   yalazima.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.