• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

SERIKALIYA ADHIMIA KUTATUA CHANGAMOTO ZINAZO CHANGIA UGUMU WA MALISHO KWENYE SHAMBA LA KALAMBO.

Posted on: July 6th, 2019
  • Serikali imeanza kuzitatua changamoto zinazochangia ugumu wa malisho ya mifugo kwenye shamba la mifugo la Kalambo lililoko wilaya ya kalambo mkoani Rukwa shamba lililoteuliwa kulisha mifugo iliyokosa malisho kwenye mikoa ya ukanda wa magharibi ya nchi.

Naibu waziri wa mifugo na uvuvi abdallah ulega amewaeleza baadhi ya wafugaji wa kata ya kilangawana iliyopo bonde la ziwa rukwa katika halmashauri ya wilaya ya sumbawanga kuwa hatua hiyo inafuatia taarifa kuwa baadhi ya wafugaji wameondoa mifugo yao kutoka kwenye shamba hilo kutona na miundombinu duni ya malisho

baadhi ya wafugaji katika bonde la ziwa Rukwa kata ya kilangawana wilaya ya sumbawanga  wameekielezea mazingira duni ya malisho kwenye shamba la mifugo la kalambo lenye ukubwa wa zaidi ya hekta elfu kumi lililotengwa kwa ajili ya malisho

wamesema licha ya serikali kupunguza ada ya malisho bado marekebisho ya miundombinu ya shamba hilo la malisho yanahitajika ili kukidhi lengo lililokusudiwa .

Mkuu wa wilaya ya Sumbawanga dokta Halafany haule amesema serikali itaendelea kuweka mazingira mazuri ya ufugaji katika maeneo sahihi ili kulinda hifadhi ya pori la akiba la uwanda lililoko katika bonde la ziwa Rukwa

ziara ya siku nne ya naibu waziri wa mifugo na uvuvi mkoani Rukwa ina lengo la kujenga uhusiano mzuri kati ya makundi ya wakulima na wavuvi na pia kutoa hamasa ya kuepukana na vitendo vya uharibifu wa mazingira

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.