• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Mkoa wa Rukwa kupanda Miti Milioni 6 Mwaka 2018

Posted on: January 19th, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo ameziagiza Halmashauri Mkoani humo kupanda miti milioni  sita katika mwaka 2018. hayo ameyasema katika Sherehe za kilele cha upandaji miti katika Mkoa wa Rukwa zimefanyika katika shule ya sekondari Matai Wilaya ya Kalambo tarehe 19 Januari 2018, na kuhudhuriwa na viongozi na wataalam mbalimbali wa Mkoa, Wilaya, Halmashauri  pamoja na wananchi huku Mkuu wa Mkoa wa Rukwa  akiwa ni Mgeni rasmi katika sherehe hizo.

Katika sherehe hizo hotuba ya Mkuu wa Wilaya pamoja na Mkuu wa Mkoa zilijikita katika mambo mbalimbali yenye lengo la kulinda mazingira yetu. Mambo hayo ni kuwasihi wananchi na Taasisi mbalimbali Kupanda miti mingi kadri iwezekanavyo huku kiwango cha kitaifa kikiwa ni kupanda miti Milioni Moja na Nusu kila mwaka kwa kila Halmashauri. Katika upandaji miti Mkuu wa Mkoa amehimiza upandaji miti ya matunda na mbao kwa lengo la kulinda afya na kuongeza kipato kutokana na mazao ya miti hiyo.

Pia Wananchi wamehaswa kutochoma miti na misitu pindi wanapotekeleza shughuli mbalimbali za kiuchumi katika maeneo mbalimbali, mamlaka za Serikali kuwaondoa wananchi katika hifadhi mbalimbali, wataalamu wa Misitu kushauri juu ya miti inayofaa kupandwa katika mazingira mbalimbali, kufanya ufuatiliaji wakina katika maeneo ambayo miti imepandwa ili kuhakikisha miti inakua. Kutoa elimu katika shule juu ya utunzaji mazingira, Taasisi mbalimbali  kusimamia misitu ya kupandwa pamoja na asili, Wakala wa misitu Nchini (TFS) kusimamia sheria kwa ukaribu ikiwa ni sambamba na kuotesha miti. Wananchi na Taasisi mbalimbali kuwaripoti waaribifu wa mazingira katika maeneo mbalimbali ili hatua kali zichukuliwe dhidi yao.

Aidha katika sherehe hizo wadau mbalimbali wa mazingira walipata nafasi ya kusema maneno machache juu ya namna wanavyohusika kwa namna moja au nyingine katika utunzaji wa Mazingira katika Mkoa wa Rukwa. Moja ya wadau wa Mazingira Mkoa wa Rukwa taasisi ya REYO ilihahidi kutoa mishe ya miti mbalimbali pamoja na miti ya matunda kwa Kijiji kimoja katika kila Wilaya ya Rukwa ikiwa ni lengo la kuiunga mkono Serikali katika utunzaji wa Mazingira.

Sherehe hizo zilihitimishwa kwa zoezi la kupanda Miti katika eneo ya shule ya sekondari Matai lenye ukubwa na heka mbili, ambapo Mkuu wa Mkoa wa Rukwa aliongoza zoezi hilo  na kuwasihi wananchi kuwa zoezi la upandaji miti ni endelevu hivyo lisikome katika sherehe hizo, eneo hilo limepewa jina la msitu wa Wangabo ikiwa lengo la kuwaenzi viongozi wetu.

Mkuu wa Wilaya ya Kalambo Mh. Julieth Binyura akipanda miti


Mwenyekiti wa Halmashauri Mh. Daud Sichone akipanda miti

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo Mhandisi Simon C. Ngagani akipanda miti


Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.