• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Soko La Samaki Kasanga Kuibua Fulsa Za Kichumi Kwa Wananchi.

Posted on: January 20th, 2020


WAVUVI wilayani Kalambo mkoani Rukwa,wamepata soko la uhakika la kuuzia samaki baada ya halmashauri hiyo kuwaruhusu kuuza samaki kwa kutumia soko la samaki la kimataifa ililojengwa katika kijiji cha Kasanga mwambao wa ziwa Tanganyika wilayani humo.

Soko hilo la samaki lililopo Kasanga ni moja kati ya masoko mawili ya kimataifa yaliyopo wilayani Kalambo ambapo soko jingine ni soko la mazao lililopo katika mji wa Matai, yaliyojengwa kuanzia mwaka 2009 hadi mwaka 2011 kupitia mtandao wa vikundi vya wakulima Tanzania (MVIWATA), ujenzi wake ulifadhiliwa kwa asilimia 80 na jumuia ya Ulaya(EU) huku halmashauri ya wilaya ya Sumbawanga, kabla ya kugawanywa na kuanzishwa kwa halmashauri ya wilaya ya Kalambo, ikichangia asilimia 20 ya ujenzi huo.

Lengo la mradi huo, ni kuwaunganisha wakulima ili wawe na sauti moja katika kushawishi na kutetea maslahi yao kiuchumi, kijamii, kiutamaduni na kisiasa.

Soko la kimataifa la kuuzia samaki liko umbali wa kilomita 73 kutoka mji wa Matai ambao ndio makao makuu ya wilaya likilenga kuwanufaisha watu 35,205 wa ukanda wa ziwa tanganyika na watu 238,000 kutoka maeneo mengine ya Wilaya ya Kalambo sambamba na mikoa ya Mbeya,Iringa, Njombe na Ruvuma pamoja na nchi jirani za Zambia, Kongo D.R.C, Rwanda na Burundi.

Soko hilo ni fursa kwa wavuvi watakao kuwa wanauza samaki na mazao yake yatakayo kuwa yakivuliwa katika ziwa tanganyika na kuuzwa maeneo mbalimbali ndani na nje ya nchi kupitia soko la samaki la Kasanga.

Halmashauri ya wilaya ya Kalambo,imewataka wafanyabiashara wote wa samaki wa ndani na nje ya nchi kufika kwa wingi katika soko la samaki la Kasanga ili wapate samaki kwa wingi na wenye ubora wa kiwango cha kimataifa kwa ajili ya kukuza mitaji yao na maendeleo ya Kalambo na taifa kwa ujumla.

Samaki wanaopatikana kwenye eneo hilo ni samaki aina ya Sangara, Kuhe,Migebuka,Samaki wa mapambo,dagaa wakubwa na aina nyingine nyingi za samaki.

Mmoja wa wavuvi waliopo katika Kijiji cha Kasanga mwambao wa ziwa Tanganyika, Skeva Sinyangwe aliishukuru serikali kupitia halmashauri ya Kalambo kwa kuruhusu soko hilo kuanza kutumika kwani litawaondolea changamoto walizokuwa wakikutana nazo hapo awali ambapo walikuwa wakitegemea kuuza samaki wao kwakutumia masoko yaliyopo nchi jirani.

Tuna mshukuru sana mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri hii  kwa  kutuwezesha  kuanza kulitumia soko hili kwani tuna imani sasa kuwa uchumi wa wetu  utangezeka ‘’walisema.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.