• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Takukuru Yawatia Hatiani Watumishi 4 Wa Serikali Mkoani Rukwa

Posted on: January 22nd, 2020


Tasisi ya kuzuia na kupamba na rushwa (TAKUKURU) mkoani Rukwa inawashikilia watu wanne akiwemo tabibu msaidizi wa kituo cha afya Matai wilayani Kalambo,Eliudi Joshua kwa tuhuma za kuomba na kupokea rushwa kiasi cha sh (100,000/=) kwa mgonjwa na kisha kumfanyia upasuaji bandia.

kamanda wa takukuru mkoa wa Rukwa,Hamza Mwenda amebainisha kuwa tukio la kwanza limetokea wilaya ya Kalambo,ambapo tatibu msaidi wa kituo cha afya Matai alikamatwa na amefikishwa mahakamani kwa tuhuma za kupokea rushwa na kumfanyia upasuaji bandia mgonjwa.

Alisema tabibu huyo aliomba rushwa kwa mgonjwa aliyekuwa na rufaa ya kwenda kutibiwa katika hospitali ya mkoa mjini Sumbawanga .

Alisema awali mgonjwa huyo alibainika kuwa na tatizo la ngiri na madaktari walikuwa wamempatia rufaa ya kwenda kutibiwa hospitali ya mkoa.

"wakati wakijiandaa kutekeleza hilo alikutana na mtuhumiwa Joshua ambaye alimuhakikishia kuwa anauwezo wa kumfanyia upasuaji na ngepona na aliomba apewe fedha kiasi cha shilingi laki moja kwa ajili ya kazi hiyo"alisema Mwenda.

Alisema kutokana na hali hiyo mgonjwa huyo aliendelea kupata maumivu makali na hali ya kidonda kuwa mbaya zaidi kiasi kwamba mpaka utumbo kutoka nje na kusema mtuhumiwa amefikishwa mahakamani kujibu tuhuma zinazomkabili.

Aidha alisema katika hatua nyinge wanamshikilia afisa mmoja wa TRA kwa kosa la kuomba na pokea rushwa ya shilingi laki tano kutoka kwa mfanyabishara mmoja wa mjini Sumbawanga ili amsaidie kupunguza kadirio ambalo alimwongezea katikati ya mwaka.

Alisema licha ya hilo wana washikiria viongozi watatu wa vyama vya ushirika mkoani humo kwa tuhuma za ubadilifu wa fedha za vikundi hivyo.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.