• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

TIMU YA MTAPENDA FC WILAYANI KALAMBO YAKABIDHIWA KOMBE NA MNYAMA NG’OMBE BAADA YA KUIBUKA NA USHINDI MICHEZO LIGI KUU NGAZI YA WILAYA

Posted on: October 27th, 2025

Mkuu wa wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa Dkt.Lazaro Komba ameikabidhi Kombe,Ng’ombe na seti moja ya jezi timu ya mpira wa miguu ya Mtapenda kutoka kata ya Mbuluma wilayani humo baada ya kuibuka na ushindi katika michezo ya ligi kuu ngazi ya wilaya ambayo ilikuwa ikiendelea kutimua vumbi katika uwanja wa Kateka kata ya Matai na kushirikisha timu 32.

Awali akikabidhi zawadi kwa timu zilizofanya vizuri kwenye michezo hiyo mkuu wa wilaya hiyo Dkt.Lazaro Komba ametumia fursa hiyo kuwataka vijana kujikita kwenye michezo ambayo itawawezesha kuimarisha afya na kuonesha vipaji vyao kwani michezo ni ajira.

Aidha ametumia fursa hiyo kuwataka vijana kujitokeza kwa wingi kupiga kura Oktoba 29-2025 ili kuchagua viongozi wanao wataka kwa maslahi ya jamii na Taifa kwa ujumla na kusisitiza kuwapuuza watu wanao shawishi vurugu na maandamano kupitia mitandao ya kijamii.

Kwa upande wake makamu mwenyekiti wa chama cha mpira wa miguu wilayani humo Ndugu Ajuaye Kaduma, amesema michezo hiyo itakuwa endelevu na kwamba  timu ya Mtapenda FC  kutoka kata ya Mbuluma imeshika nafasi ya kwanza na kuzawadiwa Kombe, Ng’ombe na seti moja ya jezi,Mshindi wa pili ilikuwa timu ya Maize Fc kutoka kata ya  Mkali ambayo ilipata seti moja ya jezi na fedha shilingi elfu Hamsini (50,000/=) ikifuatiwa  na timu White star  kutoka kata Mkowe ambayo ilizawadiwa seti ya jezi na fedha shilingi elfu ishirini (20,000/=).

Michezo hiyo imedhaminiwa na ofisi ya mkuu wa wilaya ya Kalambo pamoja na Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa TAKUKURU na kushirikisha timu 32 kutoka kata 23 za wilaya hiyo.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • TIMU YA MTAPENDA FC WILAYANI KALAMBO YAKABIDHIWA KOMBE NA MNYAMA NG’OMBE BAADA YA KUIBUKA NA USHINDI MICHEZO LIGI KUU NGAZI YA WILAYA

    October 27, 2025
  • WASIMAMAZI 1,703 WA VITUO WAPATIWA MAFUNZO JIMBO LA KALAMBO.

    October 27, 2025
  • WASIMAMAZI 1,703 WA VITUO WAPATIWA MAFUNZO JIMBO LA KALAMBO.

    October 27, 2025
  • . VIONGOZI WA DINI WILAYANI KALAMBO WATOA WITO KWA WAUMINI KUPUUZA WATU WANAO HAMASISHA VURUGU NA MAANDAMANO KUPITIA MITANDAO YA KIJAMII.

    October 26, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.