• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Uwanja Wa Taifa Wapewa Jina La Mkapa

Posted on: July 28th, 2020


Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam umebadilishwa jina rasmi na kutoka leo utaitwa uwanja wa Mkapa.

Hilo limetangazwa na Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli wakati wa hafla ya kitaifa ya kumuaga marehemu Benjamin Mkapa ambaye alifariki wiki ilopita.

Mkapa alikuwa rais wa awamu ya tatu wa Tanzania kutoka mwaka 1995 mpaka 2005. Uwanja huo wenye uwezo wa kubeba mashabiki 60,000 ulijengwa wakati wa kipindi chake.

Magufuli ameeleza kuwa anafahamu Mkapa mwenyewe hakupenda vitu viitwe jina lake "ila leo kwa sababu amelala na hawezi kuniadhibu kwa namna yoyote ile, nauita rasmi uwanja ule kwa jina lake."

Japo hakujipambanua kama shabiki wa michezo, Magufuli amesema Mkapa alikuwa shabiki klabu ya Yanga.

Magufuli pia amemueleza Mkapa kama kiongozi ambaye alikuwa na uwezo mkubwa wa kuibua viongozi wengine.

"...unaweza kusema alikuwa na maono makubwa, ni yeye ndiye aliniibua mimi. Alimteua rais mstaafu Jakaya Kikwete kuwa waziri wake wa Mambo ya Nje kwa miaka 10, unaweza kusema alikuwa anamuandaa kumrithi. Pia amemuibua rais Shein wa Zanzibar na hata mgombea wa CCM Zanzibar Dkt Mwinyi amemuibua yeye."

Magufuli pia amesema kuwa hakuna mtu anayeweza kumulezea Mkapa zaidi ya kitabu chake mwenyewe ambacho alikizindua miezi minane iliyopita.

Magufuli pia amemueleza Mkapa kama kiongozi ambaye alikuwa na uwezo mkubwa wa kuibua viongozi wengine.

"...unaweza kusema alikuwa na maono makubwa, ni yeye ndiye aliniibua mimi. Alimteua rais mstaafu Jakaya Kikwete kuwa waziri wake wa Mambo ya Nje kwa miaka 10, unaweza kusema alikuwa anamuandaa kumrithi. Pia amemuibua rais Shein wa Zanzibar na hata mgombea wa CCM Zanzibar Dkt Mwinyi amemuibua yeye."

Magufuli pia amesema kuwa hakuna mtu anayeweza kumulezea Mkapa zaidi ya kitabu chake mwenyewe ambacho alikizindua miezi minane iliyopita.

Hafla ya kitaifa ya kumuaga Mkapa yaanza

Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli anaongoza mamia ya watu katika hafla ya kitaifa ya kumuaga rais mstaafu wa taifa hilo Benjamin Mkapa ambaye aliaga dunia usiku wa kuamkia Ijumaa.

Toka Jumapili mwili wa Marehemu Mkapa umekuwa ukiagwa katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam. Hii leo, ni zamu ya viongozi wakuu wa taifa hilo pamoja na wageni kutoka nje kuaga.

Mzee Mkapa anatarajiwa kuzikwa kesho Kijijini kwake Lupaso, mkoni Mtwara kusini mwa Tanzania.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.