• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

VIFO VYA AKINA MAMA WAJAWAZITO WILAYANI KALAMBO VYATAJWA KUPUNGUA.

Posted on: July 29th, 2025

Vifo vya akina mama wajawazito katika Halmashauri ya wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa kwa mwaka 2024 vimepungua kutoka vifo 8 hadi kufikia vifo 5 kwa mwaka 2025 hali iliyochangiwa na ongezeko la vituo vya kutolea huduma za afya ikiwemo Hospitali ya wilaya.

Taarifa kutoka idara ya afya wilayani humo imeeleza kuwa vifo vya Watoto wachanga chini ya mwaka mmoja vimepungua kutoka vifo 38 kwa mwaka 2024 hadi kufikia vifo 9 kwa mwaka 2025 kwa kila vizazi hai 10000.

Aidha vifo vya Watoto wenye umri chini ya miaka 5 vimepungua kutoka vifo 45 kwa mwaka 2024 hadi kufikia vifo 11 kwa mwaka 2025 kwa kila vizazi hai 1000.

Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Kalambo ndugu Shafi Mpenda kupitia kikao cha Kujadili Sababu za Vifo vya akina Mama Vitokanavyo na Matatizo ya Uzazi na Vifo vya watoto wachanga,Amesema kupungua kwa vifo hivyo kumechangiwa na serikali kuelekeza nguvu kubwa katika kuimarisha huduma za afya ikiwemo ujenzi wa hospitali ya wilaya na vituo vya kutolea huduma za afya.

Hata hivyo Takwimu za Utafiti wa Viashiria vya Huduma za Afya na Malaria (TDHS-MIS) wa mwaka 2022 zinaonesha kuwa kiwango cha vifo vitokanavyo na uzazi nchini ni 104 kwa kila vizazi hai 100,000, wakati kiwango cha vifo vya watoto wachanga ni 38 kwa kila vizazi hai 1,000. Takwimu hizi zinaonesha kwamba bado kuna changamoto kubwa katika kupunguza vifo hivi, hivyo kuna umuhimu wa kuwa na mikakati madhubuti na endelevu ili kufikia malengo ya maendeleo endelevu ifikapo mwaka 2030 Kwa kupunguza kiwango cha vifo vitokanavyo na uzazi hadi kufikia uwiano wa vifo 70 kwa kila vizazi hai 100,000, na kupunguza vifo vya watoto wachanga hadi kufikia 12 kwa kila vizazi hai 1,000.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • VIFO VYA AKINA MAMA WAJAWAZITO WILAYANI KALAMBO VYATAJWA KUPUNGUA.

    July 29, 2025
  • RC RUKWA AWATAKA WAKURUGENZI KUTENGA BAJETI ZA KUHUDUMIA AFYA YA UZAZI NA MTOTO.

    July 28, 2025
  • KALAMBO YAFIKIA ASILIMIA 85 UTEKELEZAJI AFUA ZA LISHE.

    July 19, 2025
  • KALAMBO YAFIKIA ASILIMIA 85 UTEKELEZAJI AFUA ZA LISHE.

    July 19, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.