• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

. VIONGOZI WA DINI WILAYANI KALAMBO WATOA WITO KWA WAUMINI KUPUUZA WATU WANAO HAMASISHA VURUGU NA MAANDAMANO KUPITIA MITANDAO YA KIJAMII.

Posted on: October 26th, 2025

 

Viongozi mbalimbali wa dini mkoani Rukwa wametoa wito kwa waumini wao juu kuwapuuza watu wanao shawishi kupitia mitandao ya kijamii ili kufanya vurugu na maandamano wakati wa uchaguzi mkuu na badala yake wajitokeze kutimiza haki yao ya kikatiba kwa kuwachagua viongozi wanao wataka kwa maslahi ya jamii na Taifa kwa ujumla.

Wameyabainisha hayo wakati wa ibada ya Jumapili na kusisitiza waumini kuendelea kuombea uchaguzi mkuu ili uweze kufanyika kwa amani na utulivu na kubainisha kuwa wao na serikali ni kituo kimoja hivyo ni jukumu lao kuhakikisha amani na upendo wakati wa uchaguzi vinatamalaki.

Awali akisoma walaka uliotolewa na kanisa la K.K.T Mwinjilisti Lupakisyo Mwakyolile kutoka usharika wa Matai wilayani humo, amesema kila muumini ana wajibu wa kuliombea Taifa na uchaguzi mkuu ikiwa ni Pamoja na kujitokeza kupiga kura kwa maslahi ya jamii na taifa kwa ujumla.

Mapema akiongea kupitia mahubiri ,mwangalizi wa kanisa la TAG jimbo la Rukwa Magharibi mchungaji Deodatus Mwanisawa ametumia fursa hiyo kuwataka waumini kuwa sehemu ya kuhamasisha amani,upendo na utulivu katika Taifa kwa kuwapuuza watu wanao chochea vurugu na maandamano kupitia mitandao ya kijamii.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • . VIONGOZI WA DINI WILAYANI KALAMBO WATOA WITO KWA WAUMINI KUPUUZA WATU WANAO HAMASISHA VURUGU NA MAANDAMANO KUPITIA MITANDAO YA KIJAMII.

    October 26, 2025
  • MAAFISA MAENDELEO YA JAMII KALAMBO WAPATIWA PIKIPIKI.

    October 24, 2025
  • DC KALAMBO ATAKA KILA SHULE KUWA NA MASHAMBA DARASA.

    October 23, 2025
  • WANANCHI KALAMBO WATAKIWA KUZINGATIA MUDA WAKATI WA ZOEZI LA UCHAGUZI.

    October 20, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.