• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

WAFANYABIASHARA KATIKA MNADA WA MKOE WAIOMBA SERIKALI KUJENGA CHOO CHA SOKO.

Posted on: July 5th, 2019
  • Wafanya biashara wa mifugo ya Ng’ombe wilayani kalambo mkoani Rukwa wameiomba serikali kuboresha mazingira ya mnada wa mkoe ili yaendane na bishara husika kutokana na maeneo hayo kuwa na ukosefu wa huduma ya choo tangia kuanzishwa kwake na hivyo kuwa na hofu ya kupata magonjwa yamilipukoikiwemo kipindupindu.

Wilaya ya kalambo ina jumla  ya minada nane  ya mifugo na ng’ombe wapatao lakimoja na elfu sita ,ambapo kutokana na hali hiyo watu kutoka  sehemu  mbalimbali hufika  katika maeneo  hayo kwa lengo la kufanya bishara ya mifugo.

Wafanyabishara  wa  mifugo wilayani  humo  wamesema changamoto  kubwa  wanayokabiliana nayo ni ukosefu wa miundombinu kuziguka soko hilo ambalo linajumusha wafanyabishara kutoka sehemu  mbalimbali 

Pita Chambanenje  mfanyabishara  na  mkazi  wa  kijiji  cha mkoe alisema  serikali  haina  budi  kuwangaalia kwa  jicho  la  tatu  hususani  katika  kuweka  huduma  muhimu ikiwemo  choo kwa  lengo la  kuepukana magonjwa ya  milipuko  ikiwemo  kipindupindu.

Jelly mkombozi-mfanyabishara alisema licha  ya hilo  katika  maeneo  hayo  barabara  imekuwa chanagamoto kwani  wamekuwa  wakishindwa  kupitisha  magari   na kusema chanagamoto  kubwa  imekuwa  ikijitokeza  wakati masika .

Mkurugez mtendaji  wa  halmashauri  hiyo  Msongera  Palela amesema serikali  imejipanga  kuboresha  miundombinu yote kwenye  maeneo  hayo  ikiwemo  kujenga vyoo  vya  kudumu.

‘’Kama halmashauri  tunamkakati wa kujenga  wigo   katika  maeneo  haya lengon likiwa ni kuwasaidia  wafanyabishara  kuondokana na adha  ya   kuibiwa mifugo  yao na pia  hii  itasaidia  kwa  kiasi  kikubwa wafanyabishara kufanya biashara zao  kwa  uhuru zaidi’alisema  msongera

Aidha  amesema licha ya hilo  halmashauri inamkakati wa kuweka huduma ya choo kwenye  maeneo hayo  na  kuwataka  kuendeleab kufanya  usafi  kilawakati.

Mkuu  wa  wilaya hiyo Julieth Binyura aliwataka wafanyabishara  kulipa kodi kwa kulipia  fedha  za vitambulisho  vya  ujasilia mali.

‘’ kila mfanya bishaara anawajibu wa kulipa  kodi,endapo mkilipia  vitambulisho  hivyo kila  mtu atakuwa  na  uhuri  wa kufanya bishara popote hata ukienda mbeya utafanya biashara zako  bila  bugudha’’.alisema  Binyura

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.