• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Wagonjwa Wapya 29 Wathibitishwa Kuwa Na Virusi Vya Corona Katika Mji Wa Dar Es Salaam Nchini Tanzania.

Posted on: April 16th, 2020


Idadi hiyo inafikisha watu 88 walioambukizwa na Covid 19 kufikia sasa.

Kulingana na taarifa ya wizara ya Afya nchini humo wagonjwa 26 kati yao wapo katika mji wa Dar es Salaam huko wawili wakipatikana mjini Mwanza na mmoja akiwa katika eneo la Kilimanjaro.

Waziri wa Afya Ummi Mwalimu anasema kwamba ufuatilianaji wa watu waliokaribiana na wagonjwa hao unaendelea.

Hatahivyo waziri huyo ametangaza habari njema akisema kwamba hadi kufikia leo Jumatano takriban watu 11 wamepona virusi hivyo lakini akaongezea kwamba watu wanne walifariki.

Ongezeko hilo la wagonjwa linajumlisha wagonjwa wapya sita waliotangazwa na waziri wa Afya wa kisiwa cha Zanzibar.

Hatahivyo waziri huyo ametangaza habari njema akisema kwamba hadi kufikia jana  takriban watu 11 wamepona virusi hivyo lakini akaongezea kwamba watu wanne walifariki.

Ongezeko hilo la wagonjwa linajumlisha wagonjwa wapya sita waliotangazwa na waziri wa Afya wa kisiwa cha Zanzibar.

Wakati huohuo vita dhidi ya maambukizi ya corona vimeimarishwa baada ya mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda kutangaza vituo vya Afya na hospitali ambapo wakaazi watepeleka sampuli zao za ili kupimwa virusi vya corona.

Mkuu huyo anasema kwamba lengo la vituo hiyo ni kuzuia maabukizi ya virusi hivyo hususan wakati huu ambapo kumekuwepo na ongezeko la wagonjwa.

Makonda amesema kwamba hatua hiyo inajiri baada ya wakaazi walio na dalili za virusi kuingia katika vituo vya Afya na kujichanganya na wengine bila kujua.

Baadhi ya vituo vilivyochanguliwa katika wilaya ya Kinondoni ni Hospitali ya Mwananyamala, Kituo cha Afya cha Mgomeni, Kituo cha Afya cha Mikoroshoni, kliniki ya IST Masaki, Hospitali ya TMJ Mikocheni pamoja na Hospitali ya Rabininsia eneo la Wazo.

Katika Wilaya ya Ilala vituo hivyo ni Hospitali kuu ya Amana , Hospitali ya Mnazi mmoja, Hospitali ya Buguruni, Hospitali ya Regency, Hospitali kuu ya Muhimbili, Hospitali ya Aga Khan, na Hospitali ya Hindu Mandal.

Katika Wilaya ya Temeke, wakaazi watapeleka sampuli zao katika hospitali kuu ya Temeke.

Mbagala Hospitali ya Rangi Tatu. Kituo cha Afya cha Yombo, na Hospitali ya TOHS Chan'ombe.

Wilaya ya Ubungo wakaazi wametakiwa kwenda katika hospitali ya Sinza , Kituo cha afya cha Kimara, Hospitali ya Bochi na hospitali maalum ya Mloganzila.

Nao wakaazi wa Wilaya ya Kigamboni watapeleka sampuli zao katika kituo cha Afya cha Vijibweni, Hospitali ya Aga Khan na kituo cha Afya cha Kigamboni

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.