• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Wajumbe Saba Wakamatwa Na Takukuru Wilayani Kalambo

Posted on: July 28th, 2020


Wajumbe saba wakazi wa kijiji cha Singiwe wilaya ya Kalambo akiwemo mtia nia ubunge wa viti maalumu Patrick Dyamukama wanashikiliwa na taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa TAKUKURU mkoani Rukwa baada ya kukamatwa wakati wakigawa fedha kiasi cha shilingi milioni nne kwa wajumbe wa UWT wilayani Kalambo.

Wajumbe hao walikamatwa katika makazi ya Yusta Kajema mkazi wa singiwe kata ya Lyowa wilayani humo wakati wakigawana fedha kiasi cha shilingi million nne (4,000,000),fedha ambazo zilikuwa zimehifadhiwa kwenye begi.

Hata hivyo katika tukio hilo maafisa TAKUKURU kutoka wilayani Kalambo walifika na kuwakuta wajumbe hao wakijaribu kugawana fedha ambazo zilikuwa zimehifadhiwa kwenye bahasha 20 huku kila moja ikiwa na kiasi cha shilingi laki mbili.

Kufuatia hali hiyoTaasisi hiyo iliwakamata wajumbe hao kwa mahojiano na kukili kupewa fedha hizo na Patrick Ndyamukama kama kishawishi cha kumpigia kura tarehe 23/7/2020 kwenye uchaguzi.

Mkuu wa TAKUKURU mkoani Rukwa Hamza Mwenda, alisema ‘’baada ya kupata  taarifa hiyo maafisa wa TAKUKURU wilayani kalambo waliweza kufika katika  kijiji cha Singiwe na kufanikiwa kuwaweka chini ya ulinzi wajumbe 7 wa UWT waliokuwa wamekutwa nyumbani kwa Yusta Kajema majira ya 2:46 asubuhi na baada ya kufanya upekuzi ndani ya nyumba hiyo walimkamata Irene Ndyamukama akiwa na begi lenye fedha kiasi cha shilingi million nne.’’Alisema Mwenda.

Alisema katika mahojiano yaliofanyika Irene Ndyamukama alikiri kugawa bahasha 30 kwa wajumbe therathini ambao alikutana nao asubuhi ya tarehe 21/7/2020 na kwamba alibakiwa na bahasha kumi na tisa19 kwa ajili ya wajumbe ambao walikuwa bado hawajafika eneo la tukio.

Mkuu wa TAKUKURU mkoani Rukwa Hamza Mwenda, alisema baada ya kupata taarifa kuwa Irene Ndyamukama mtia nia wa ubunge kukusudia kugawa fedha kwa wajumbe wa umoja wa wanawake (UWT) CCM wilayani Kalambo ambao ni wapiga kura za maoni kwa wagombea wa nafasi ya ubunge vitimaalumu

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.