• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Wakulima 4000 kufikiwa na mradi wa upimaji tathimiini ya udongo mkoani Rukwa;

Posted on: May 25th, 2021

Serikali mkoani Rukwa kwa kushirikiana na taasisi ya utafiti wa wa kilimo {TARI} na mashirika mengine nchini, imezindua mpango mkakati wa upimaji tathimini ya udongo mradi unaotarajiwa kuwafikia wakulima wapatao 4000 katika vijji 400 kupitia wilaya tatu za mkoa huo kabla ya mwaka 2021 kuisha.

Mradi huo ni mwendelezo wa awamu ya kwanza iliyozinduliwa mwaka 2019 na kuwafikia wakulima na wadau wa kilimo wapatao 20,000 katika mikoa miwili ya Njombe na Songwe.

Awali akiongea wakati wa uzinduzi wa mradi huo, kaimu mkuu wa mkoa wa Rukwa Kalorius Misungwi,alisema mradi huo unatarajiwa kuhudumia wakulima 4000 katika vijiji 400 .

Alisema kupitia mradi huo wakulima wataweza kuinua vipato vyao kwa kulima kilimo chenye tija, na kupitia mradi huo mazao ya wakulima yataongezeka maradufu.

Mkurugezi mtendaji wa kampuni ya OCP Tanzania Dkt Mshindo Msolla, alisema kampuni yake inashirikina na Serikali kuandaa mchakato wa upimaji wa udongo kwa zaidi ya vijiji 100 ndani ya mkoa wa Rukwa

Alisema lengo kubwa ni kuwaelimisha wakulima juu ya udongo wa eneo lao bila gharama zozote, na kusisitiza kuwa majibu yatatolewa kwa wakulimu muda mfupi baada ya vipimo kufanyika.

‘’mradi huu wa upimaji udongo unatarajiwa kuendeshwa katika vijiji 400 na kuwafikia wakulima wapatao 4000 kufikia mwisho wa mwaka 2021. Mradi huo pia unatarajiwa kutoa mapendekezo ya mbolea kwa wakulima wapatao 14000 watakao wakilisha wakulima wenzao kutoka mashamba mbalimbali, kwa kutumia njia rahisi za upimaji udongo ili kupata matokeo sahihi.’’ Alisema Msolla.

Mradi wa upimaji tathimini unaoratibiwa kwa ushirikiano wa Serikali ya Jamhuri ya Mungano wa Tanzania kupitia Wizara ya kilimo , pamoja na Taasisi ya utafiti wa kilimo TARI.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.