• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

WALIMU WANAOFANYA KAZI KWA MAZOEA WAONYWA

Posted on: July 13th, 2025

Afisa elimu mkoa wa Rukwa Juma Kaponda amesikitishwa na kitendo cha walimu wa shule ya msingi msishindwe kata ya Mwimbi wilaya ya Kalambo kufundisha kipindi kimoja kwa kipindi cha miezi saba mfululizo na kusababisha wanafunzi 27 kati ya 28 kufeli katika mitihani ya upimaji wa darasa la saba ngazi ya kanda.

Ameyasema hayo wakati wa ziara ya ukaguzi hali ya utendaji kazi ya walimu wa shule za msingi na sekondari wilayani humo na kusema katika ukaguzi huo amebaini walimu wa shule hiyo kutofikia kiwango cha ufundishaji wa vipindi darasani ikiwemo baadhi yao kufundisha vindi 6-10 kwa kipindi cha miezi 7.

Aidha ametumia fursa hiyo kuwataka wenyeviti wa serikali za vijiji na kamati za shule kushirikiana na walimu kwa karibu katika kudhibiti utoro wa wanafunzi shuleni ikiwemo kuwachukulia hatua kali za kisheria wazazi na walezi wanaochangia vitendo vya utoro kwa wanafunzi shuleni.

Baadhi ya walimu wilayani humo ambao licha ya kuipongeza serikali kwa kuanzisha utaratibu wa ukaguzi huo wameomba mfumo huo kuwa endelevu ikiwa ni Pamoja na kudhibiti vitendo vya matumizi ya pombe wakati wa masaa ya kazi   dhidi yao.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • WALIMU WANAOFANYA KAZI KWA MAZOEA WAONYWA

    July 13, 2025
  • Serikali yapiga maalufu wafugaji kutozwa fedha za chanjo ya mifugo.

    July 09, 2025
  • WAJASIRIAMALI WADOGO WATAKIWA KUONGEZA THAMANI YA BIDHAA ZA

    July 07, 2025
  • WATIA NIA 158 WAJITOSA KUWANIA UBUNGE NA UDIWANI KALAMBO

    July 03, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.