• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Wananchi Waiomba Serikali Kuongeza Vituo Vya Kupigia Kura.’’Kalambo’’

Posted on: September 23rd, 2019


Zikiwa zimesalia siku chache kuanza kwa uchaguzi mkuu wa serikali za mitaa hapa nchini ,wananchi wilayani Kalambo mkoani Rukwa wameiomba serikali kuthibiti mianya ya wahamiaji haramu kuingia nchini kinyemera sambamba na kuongeza vituo vya kupigia kura pamoja na kuweka utaratibu maalmu kwa wazee na watu wasio jiweza ili kuwawezesha kushiriki kikamilifu katika zoezi hilo.

Jumla ya wananchi lakimoja kumi na nne elfu mia tisa hamsini na moja (114,951) wanategemea kuanza kupiga kura za kuwachagua viongozi wa serikali za vitongoji na vijiji ifikapo November 24,2019, ambapo kwa wilaya ya Kalambo zoezi hilo litafanyaka kwenye vijiji  mia moja kumi na moja(111) katika vituo mia nne ishirini na mbili(422).

Kufuatia umuhimu wa zoezi hilo wananchi wilayani humo wametoa maoni yao na huku wengi wao wakiomba serikali kuweka utaratibu mzuri ambao utasaidia akina mama wajawazito, wazee pamoja na watu wenye hali ya ulemavu kuweza kupiga kura kwa urahisi zaidi na kuchagua  kiongozi wanae mtaka.

‘’tunaomba serikali kuongeza vituo vya kupigia kura pamoja na kuweka utaratibu maalumu ambao utasaidia wazee pamoja na watu wenye hali ya ulemavu kupata huduma kwa urahisi zaidi kwa kuawachagua viongozi wanaotaka bila bugudha’’walisema wananchi hao.

Msimamizi mkuu wa uchaguzi wlayani humo Eriki Kayombo,amesema vituo vya kupigia kura vitafunguliwa kuanzia majira ya saambili asubuhi hadi saa kumi na moja jioni na kuwasihi  wananchi kujitokeza kwa wingi kuchagua viongozi wanao wataka kwa masirahi mapana ya  taifa.

‘’kura ni haki yako,kumbuka kupiga kura tarehe 24 november 2019 ili upate kiongozi bora atakae kuletea maendeleo na vituo vya uandikishaji vitafunguliwa kuanzia 2:00 asubuhi na kufungwa saa 12:00 jioni na vituo vya kupigia kura vitafunguliwa kuanzia saa2:00 asubuhi na kufungwa saa 10:00 jioni.’’alisema Kayombo.

Afisa uchaguzi wilayani humo Atanas Saida,amesema wamegawa vitendea kazi mbalimbali kwa  wananchi, mashirika ya dini pamoja na watu wengine.

‘’kusema kweli tumejipanga vizuri na mpaka sasa tumekwisha kugawa vifaa mbalimbali kwa mashirika ya dini watu maalufu, pamoja  na watumishi’’.alisema Saida.

Hata hivyo serikali wilayani humo imetangaza nafasi mianne ishirini na mbili za kazi ya  uandikishaji na uandaaji wa orodha ya wapiga kura ,zoezi ambalo litamudu  kwa muda  wa  siku saba.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.