• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Wananchi Waiomba Serikali Kuruhusu Video,Picha Na Vinasa Sauti Kutumika Mahakamani Kama Ushahidi

Posted on: February 7th, 2020


Wananchi mkoani Rukwa wameiomba serikali kuweka utaratibu maalumu ambao utawawezesha kutoa ushahidi mahakamani kwa kujirekodi na kutuma video pamoja na vinasa sauti mahakani badala ya kuapa kwa lengo la kusadia watu kupata haka zao kwa wakati.Ramadhani Rugemalila-  hakimu  mahakama ya  wilaya  ya  Kalambo

Wakiongea wakati wa maadhimisho ya siku ya sheria yaliyofanyika wilayani  Kalambo, walisema serikali haina budi kuziwezesha mahakama kwa kuruhusu  watu  kutuma  video  pamoja na vinasa  sauti na kutumika kama ushahidi wakati  wa uendeshaji kesi mahakamani.

Hakimu wa mahakama ya wilaya ya Kalambo Ramadhani Rugemalira ambae alikuwa mgeni rasm kwenye madhimisho  hayo, alisema kwa sasa mashauri yote  yatatumwa kwa njia ya simu.

‘’katika kupunguza  gharama za mashauri kwa  wadau ,mahakama imeanzisha huduma ya mahakama inayotembelea {mobile court }alisema Rugemalila.

Alisema hali  kadhalika kwa  sasa mahakama inatumia  mitambo  ya  kielektroiniki {viedo conferece  facility }kuendesha mashauri mbalimbali  kwa baadhi  ya  maeneo  hapa  nchini.

Alisema  mahakama  ya  Tanzania  katika   kuhakikisha  mashauri  ya  biashara   na uwekezaji  yanaisha kwa  haraka ,msisitizo  mkubwa umewekwa kwenye utatuzi wa mashauri  kwanjia  ya  usuluhishi {Altenative  dispute resolusion }

Alisema  kwa  upande  wa  mahakama  ya  mwanzo mashauri yatatakiwa  kumalizika  ndani  ya  miezi  sita  ,mahakama za hakimu  mkazi  miezi kumi na  mbili  kwa  mwaka  mara  moja .

Mkuu  wa  wilaya  ya  kalambo Julieth Binyura aliwataka  wananchi kujenga  mazoea  ya  kufika mahakamani  kutoa  ushahidi.

‘’wananchi pia  ni  wadau  muhimu  katika  kuhakikisha kunakuwepo  namazingira wezeshi ya  biashara na uwekezaji.kunapokuwa  na shauri lolote mahakamani  zikiwemo  kesi za biashara  na uwekezaji  ni jukumu  la wananchi kufika mahakani  kutoa  ushahidi ili  kesi ziweze kufikia maamuzi sahihi na ya haki kwa  wakati.’’Alisema Binyura.

Madhimisho   ya  sheria  hufanyika tarehe 6 ya kila  mwaka  na  kwa mwaka  huu yalikuwa  na kauli  mbiu  isemayo‘’Uwekezaji na biashara,Wajibu wa mahakama  na wadau  kuweka mazingira wezeshi ya uwekezaji’’

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA KALAMBO YAFIKIA ASILIMIA 120 UKUSANYAJI WA MAPATO.

    June 27, 2025
  • HALMASHAURI YA KALAMBO YAFIKIA ASILIMIA 120 UKUSANYAJI WA MAPATO.

    June 27, 2025
  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.