• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Wananchi waipongeza Serikali kwa kusambaza Madaktari Bingwa

Posted on: December 11th, 2019

Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa imeanzisha utaratibu maalum wa kuwasaidia wananchi kwa kusambaza Madaktari Bingwa katika vituo mbalimbali vya afya lengo ikiwa ni kuondokana na changamoto ya kutembea umbali mrefu kwaajili ya kutafuta matibabu.

Mganga Mkuu wa Wilaya hiyo Aleni Mlekwa alisema kuwa madaktari hao wamesambazwa katika vituo vyote vya afya wilayani humo ambavyo ni kituo cha afya cha Mwimbi, Matai na Ngorotwa.

Alisema kuwa lengo ni kuwezesha wananchi kuondokana na adha ya kutembea umbali mrefu kwaajili ya kufuata huduma za matibabu.

Madaktari hao walichukuliwa kutoka hospitali ya mkoa wa Rukwa na wananchi elfu mbili wamekwishatibiwa na zoezi hilo bado linaendelea.

Alisema kutokana na mwitikio wa watu kuwa mzuri wameongea na uongozi wa Wilaya ili katika awamu ijayo bajeti iongozwe kwa lengo la kufikisha huduma hiyo katika zahanati zote za wilaya hiyo.

"Katika zoezi hili tuna madaktari wa aina mbalimbali ikiwemo wa Macho, Madaktari wa magonjwa ya ndani, madaktari wa magonjwa ya akina mama, Madaktari wa magonjwa ya watoto pamoja na Madaktari wa upasuaji na tunaishukuru sana serikali kwa kutoa fedha ili kuwasaidia wananchi wanaoishi katika maeneo ambayo hayafikiki kiurahisi,"Alisema Mlekwa.

Mmoja wa Madaktari bingwa mkoni humo,Hamisi Ulaya alisema mwitikio wa wananchi umekuwa mzuri kwani kila sehemu waliyopita watu walikuwa na uhitaji wa kutibiwa.

Mkuu wa wilaya ya Kalambo Bi. Julieth Binyura, aliwasihi wananchi wilayani humo kuendelea kujitokeza kwa wingi kwenye zoezi hilo ili kupata matibabu katika maeneo hayo.

Alisema lengo la Serikali ya awamu ya tano ni kuhakikisha wananchi wanaondokana na adha ya kutembea umbali mrefu kutafuta huduma za matibabu na kuwataka wahudumU wa afya kutoa vitambulisho kwa wazee wote.

Baadhi ya wananchi wilayani humo wameipongeza Serikali kwa kusogeza huduma za matibabu karibu na maeneo yao na kuomba kuwa na utaratibu maalumu wa kurudiwa kwa zoezi hilo.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.