• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Wanawake Katika Kijiji Cha Kasitu Wataka Daraja Kujengwa

Posted on: December 27th, 2019

BAADA ya mjazito Maria Kalunde(42) na mwanaye Magreth Lui(9) kufa maji wakati wakivuka mto Kalambo akimsindikiza mama yake kwenda Klinik, baadhi ya wanawake wa Kijiji cha Kasitu wilayani Kalambo mkoani Rukwa wameiomba serikali kujenga daraja katika mto huo ili waache kuhatarisha maisha yao.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti wanawake hao,walisema kuwa wamekuwa wanakabiriwa na changamoto kubwa hasa kipindi cha masika kuvuka mto huo kwakuwa huwa unajaa hadi wakati mwingine maji kupita juu ya kivuko cha miguu kinachokatisha mto huo.

Mmoja wa wanawake hao Isabella Sinyangwe, alisema kuwa katika msimu huo wa mvua nyingi, wanawake wamekuwa wakikabiliwa na wakati mgumu kwakua huduma nyingi ikiwemo za afya zinapatikana ng'ambo baada ya kuvuka mto huo.

Alisema kuwa kuna baadhi ya siku wamekuwa  wakiilazimika kukosa huduma hizo kutokana na maji kujaa hadi kupita juu ya daraja hali ambayo ni hatari kwani hawawezi tena kuvuka kwakua hawana uhakika Kama daraja hilo bado lipo au linakuwa limesombwa na maji.

Naye Rozimary Simzosha alisema kuwa hofu pia ipo kwao na watoto wao ambao wamekuwa wakivuka kivuko hicho kwani ni hatari kwakua kimetengenezwa kwa miti na hivyo kuteleza hali inayosababisha baadhi yao kuangukia mtoni na kufa maji.

"Kivuko hicho kimetengenezwa kienyeji sana,na miti ikilowana maji inateleza hivyo ni rahisi hata kwa binaadamu kuteleza na kuangukia ndani ya maji, na kupoteza maisha hivyo tunaiomba serikali ione umuhimu wa kutujengea daraja ili kunusuru maisha yetu" alisema.

Diwani wa kata hiyo Richad Kamagari ,alisema tatizo la vifo kutokana na kutumbukia watu mtoni limekuwa likijitokeza mara nyingi na yeye amekwisha toa taarifa katika baraza la madiwani la halmashauri ya wilaya ya Kalambo.

Kwaupande wake kaimu katibu tawala wa wilaya ya Kalambo,Mahmood Shauri alisema kuwa serikali itajitahidi kutatua changamoto hiyo inayowakumba wakazi wa kijiji hicho.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.