• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Wanawake Wataka Sacos Za Mikopo Kudhibitiwa

Posted on: March 9th, 2020


WANAWAKE mkoani Rukwa wameiomba serikali kuweka utaaratibu maalumu ambao utasaidia wao kupata mikopo kwa urahisi zaidi pamoja na kuzisimamia taasisi za kifedha{SACOS}ambazo zimekuwa zikitoa mikopo kwa gharama kubwa na hivyo kupelekea wao kushindwa kujikwamua kiuchumi.

Maadhimisho ya siku ya wanawake hufanyika kila mwaka hapa nchini, ambapo kwa mwaka huu maadhimisho hayo kimkoa yamefanyika  katika Kata ya Kisumba wilayani Kalambo mkoani Rukwa na huku  mgeni  Rasmi akiwa ni mkuu wa mkoa huo Mhe. Joachim Wangabo.

Akisoma taarifa fupi mbele ya mgeni Rasmi, mmoja wa wanawake  hao Leonala Jailos, amesema serikali haina budi kuwasidia kwa kutoa  mikopo  yenye riba nafuu  kupitia vikundi  na majukwaa yao.

Amesema Halmashauri zimekuwa zikitoa fedha  kidogo za mikopo hali  ambayo imekuwa ikipelekea baadhi yao kukosa mikopo na kujitokeza  malalamiko.

Amesema serikali haina budi kuyawezesha majukwaa ya  wanawake yaliyopo katika Halmashauri zote  nne za mkoa huo na kusema kwa kufanya hivyo kutaongeza uwajibikaji kwa walengwa na  hatimaye  kujikwamua  kiuchumi.

Mkuu wa mkoa wa Rukwa Mhe. Joachim Wangabo ameziagiza Halmashauri  zote za mkoa huo kuhakikisha zinatoa mikopo ya wananawake na vijana na huku akiisifu Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo na Manispaa ya  Sumbawanga  kwa  kutoa  mikopo  hiyo.

‘’Katika mwaka huu wa fedha 2019/20 katika  risala  zenu  hapa  mlionesha  wazi kwamba  fedha mnazopewa  na Halmashauri  kuwa hazitoshi  na hii  nitaiona  kwa  nini  hazitoshi, fedha  hizo  zinatakiwa  zitolewe kama sheria inavyo elekeza  lakini  Halmashauri  zetu  zimekuwa  hazitoi.’’ alisema Wangabo.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • Serikali yapiga maalufu wafugaji kutozwa fedha za chanjo ya mifugo.

    July 09, 2025
  • WAJASIRIAMALI WADOGO WATAKIWA KUONGEZA THAMANI YA BIDHAA ZA

    July 07, 2025
  • WATIA NIA 158 WAJITOSA KUWANIA UBUNGE NA UDIWANI KALAMBO

    July 03, 2025
  • HALMASHAURI YA KALAMBO MKOANI RUKWA YAPOKEA WATUMISHI 67 WA AJIRA MPYA.

    July 03, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.