• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Wasifu Wa Marehemu Ephraim M. Moses Kuzaliwa

Posted on: June 4th, 2020


Ephraim M. Moses alizaliwa mnamo tarehe 18/04/1966 katika kijiji cha Mwakaleli Wilaya ya Rungwe.

Marehemu alimaliza shule ya msingi Kandete mwaka 1982, na kujiunga na mafunzo ya Ualimu ngazi ya Cheti daraja B mwaka 1983 na kuhitimu mwaka 1985. Baada ya hapo Marehemu akajiunga na masomo ya Sekondari kama Mtahiniwa binafsi mwaka 1991 hadi 1992. Mwaka 1992 hadi 1994 Marehemu alijiunga na Mafunzo ya ualimu Daraja la IIIA Chuo cha Ualimu Tukuyu. Mwaka 1995 hadi 1996 marehemu alijiendeleza na masomo ya juu ya sekondari kama mtahiniwa binafsi katika kituo cha Shule ya  Sekondari Loleza.

Mwaka 1997 hadi 1999 marehemu alijiunga na Elimu ya Stashahada katika chuo cha Elimu Morogoro. Mwaka 2001 hadi 2007, marehemu alijiunga na Chuo Kikuu Huria cha Dar Es Salaam na kupata Shahada yake ya kwanza ya Sanaa ya Elimu. Mwaka 2011-2013 Marehemu alipata Elimu ya Shahada ya Uzamili katika Sanaa ya Maendeleo ya Chuo Kikuu Dodoma.

AJIRA

Marehemu aliajiriwa mara ya kwanza Mwaka 1986-1989 katika shule ya Msingi Ikomelo Rungwe, kisha akahamia shule ya Msingi Lubala Rungwe na baadae akajiendeleza kielimu na kuhamishwa  katika Ofisi mbali mbali za Serikali ikiwemo shule ya Sekondari Mwakaleli, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mbeya na  Mwaka 2014  Marehemu Ephraim Moses alihamishiwa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo akafanya kazi ya Afisa Elimu Sekondari Wilaya hadi umauti ulipompata Tarehe 28/05/2020.


MAELEZO YA UGONJWA

Marehemu alianza kujisikia vibaya tarehe 27/5/2020 na hali ilipozidi Marehemu Moses alikimbizwa Hospitali ya Mkoa wa Rukwa tarehe 28/5/2020 hapo ndipo umauti ulipomkuta baada ya kulazwa Hospitalini hapo.

Mnamo tarehe 28/05/2020 Jioni mpendwa wetu aliaga Dunia. Merehemu ameacha Mjane na watoto .

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.