• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Watakaoharibu Koki Za Maji Kulipishwa Faini Shilingi 50,000

Posted on: March 17th, 2021

Mkuu wa Wilaya ya Kalambo Mh. Carolius Misungwi amewatahadharisha wazazi Pamoja na Watoto wenye tabia ya kuchezea koki za maji katika vituo vyakuchotea maji vilivyopo kwenye vijiji mbalimbali wilayani humo kuwa watalipishwa faini ya shilingi 50,000 kupitia Jumuiya za Watumiaji maji ngazi ya jamii ili miradi hiyo iweze kuwa endelevu na hatimae kuwanufaisha wananchi kwa muda mrefu.

Mh. Misungwi alisema kuwa kumekuwa na tabia ya Watoto kufungua maji na kuyaacha yakimwagika huku wazazi wakiwaacha Watoto haa bila ya kuguswa na vitendo hivyo na kuwakemea hali inayosababisha koki hizo kuharibika mapema na kushindwa kununua nyingine kutokana na uchangiaji hafifu wa michango kutoka kwa wananchi hao na hivyo miradi kupoteza thamani yake.

Hayo yamesemwa katika uzinduzi wa wiki ya maji Wilayani Kalambo, Mkoani Rukwa ambapo Mgeni rasmi wa tukio hilo Mkuu wa Wilaya ya Kalambo Mh. Carolius Misungwi aliweka jiwe la msingi katika Mradi wa maji wenye thamani ya Shilingi 382,768,375.22 katika Kijiji cha Katete wilayani humo. Mradi uliofadhiliwa kwa fedha za mfuko wa maji wa Taifa na kusimamiwa wakala wa Maji safi na Usafi wa Mazingira vijijini (RUWASA)

Wakati akisoma risala ya ufunguzi wa wiki ya maji kwa mgeni rasmi, meneja wa RUWASA wilaya ya Kalambo Mhandisi Patrick Ndimbo alisema kuwa miongoni mwa changamoto za miradi hiyo kutoendelea ni Pamoja na wananchi kutochangia huduma ya maji kama sera ya maji yam waka 20002 inavyowataka wananchi wanufaika wa huduma ya maji kuchangia gharama za huduma.

“Mheshimiwa Mgeni Rasmi kutokana na uchangiaji hafifu jumuiya za maji zimekuwa zikishindwakudfanuya matengenezo sehemu zinazoharibika, kurudishia vifaa na vipuli na kushindwa kulipa mishahara ya watumishi wa jumuiya za maji kama fundi na Mhasibu. Hali ya kutolipa huduma ya maji itasababisha miradi ya maji kushindwa kujiendesha na hivyo kufa mapema,” Alisema.

Kwa upande wao wananchi wa Kijiji hicho walitoa shukrani zao kwa Rais Dkt. John Pombe magufuli kwa kuwapatia mradi huo ambao umewakomboa na hivyo kuwapunguzia muda wa kwenda kufuata maji katika maeneo hatarishi.

Miradi inayoendeshwa na RUWASA katika Wilaya ya Kalambo inahudumia wananchi 146,973 kati ya 267,223 sawa na asilimia 55 huku Kauli mbiu ya Wiki ya Maji mwaka huu inasema “Thamani ya Maji kwa Uhai na maendeleo.”

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.