• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Watendaji Wa Serikali Za Vijiji na kata Waitaka Serikali Kulipa Asilimia 20% Za Vijiji.

Posted on: July 23rd, 2019
  • Watendaji wa serikali za vijiji na kata wilayani  kalambo mkoani Rukwa wameiomba serikali kujenga mazoea ya kurejesha asilimia ishirini za vijiji kwa wakati kwa lengo la kuimaisha ushirikino mzuri kati yao na wenyeviti wa serikali za vijiji wakati wa ukusanyaji mapato na kusaidia kuondokana na adha ya utoroshwaji wa mapato unaofanywa na baadhi ya wafanyabiashara.

Hayo yamebainika kupitia kikao maalumu kilichofanyika  katika tarafa ya mwimbi wilayani humo,ambapo wamebainisha kuwa baadhi ya viongozi wa serikali za vijiji wamekuwa wagumu kutoa  ushirikiano hususani wakati wa ukusanyaji mapato na hivyo kupelekea mapato kutoroshwa na baadhi ya wafanyashara.

Waendapo serikali ikitoa asilimia hizo ushirikiano baina yao na viongozi wa vijiji utaimalika na vyanzo vyote vya mapato vitathibitiwa .

Mchael Mazila mtendaji wa kata ya ulumi,alisema wenyeviti wa vijiji ndio nguzo kuu katika  maeneo  yao hivyo endapo kikiwa na ushirikiano  wa  kutosha mapato  ndani  ya  halmashauri  yataongezeka  kwa  kasi kubwa.

Bahati  chapasi  mtendaji wa  kijiji cha,Mwimbi alisema serikali haina budi  kuangalia namana ya kuboresha miundimbinu ikiwemo  barabara kwa lengo la kuawezesha wafanyabiashara kupitisha magari yao kwa urahisi zaidi

Mkurugezi mtendaji  wilayani humo Msongera Palela amesema halmashauri imejipanga kulipa madeni yote hususani ya asilimia  za vijiji na kusema kufikia mwezi wa tisa vijiji vyote vitakuwa vimelipwa.

‘’hapo awali halmashauri ilikuwa na madeni mengi hivyo mzigo ulikuwa mkubwa na  kushindwa kulipa asilimia za viijiji kwa  wakati lakini tunaimani  kufikia  mwezi wa tisa vijiji vyote vitakuwa  vimelipwa’’alisema msongera.

Afisa tarafa ya Mambwenkoswe Mpapalika mfaume alitumia fulsa  hiyo kuwataka wananchi  kuendeleaa kuheshimu maamuzi ambayo yamekuwa yakitolewa  na mabaraza kutokana kwamba mabaraza yote yapo kisheria.

 

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.