• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Watoto Kuanzia Miaka 0-8 Walindwe Dhidi Ya Vitendo Vya Ukatili. Na Baraka Lusajo – Rukwa.

Posted on: March 29th, 2022

Wanawake wilayani Kalambo mkoani Rukwa wamesema kuna umuhimu wa serikali kuangalia namna bora ya kudhibiti vitendo vya ukatili wa kijinsia dhidi ya wanawake na watoto ambavyo wakati mwingine vimekuwa vikijitokeza katika jamii na kuathiri makuzi na maendeleo ya awali   ya watoto hususani wenye umri chini ya miaka 8

Waliyabainisha hayo kupitia maadhimisho ya uzinduzi wa jukwaa la uwezeshwaji kiuchumi la wanawake yaliyofanyika katika kata ya Matai wilayani Kalambo mkoani Rukwa na kusema vitendo vya ukatili wa kijinsia wakati mwingine vimekuwa vikiwaathiri zaidi akina mama wajawazito ambao wamekuwa wakikumbana na ukatili wa aina tofauti ikiwemo vipigo na kusababisha wengine kupoteza viumbe tumboni.

Akiongea kupitia uzinduzi wa jukwaa la uwezeshwaji kiuchumi la wanawake wilayani humo, mwenyekiti wa jukwaa hilo Ester Msigwa, alisema wanawake wajawazito ni miongoni mwa watu ambao wamekuwa wakikabiliwa na matukio ya ukatili ambao wakati mwingine umekuwa ukiathiri kuhudhuria huduma za afya kama huduma za mama mjamzito.

‘’Pia wanawake wajawazito wameripotiwa kupitia aina tofauti za unyanyasaji ambapo kati asilimia 7 mpaka 10 wametajwa kupitia ukatili wa kijinsia ukiathiri kushindwa kuhudhuria huduma za afya kama huduma ya mama mjamzito, Sambamba na kiwango kikubwa cha ukatili wa kimwili dhidi ya wanawake kimekuwa kikiripotiwa hivyo kuna umuhimu wa serikali Kushirikiana na majukwaa haya ili kusaidia katika utoaji elimu.’’ Alisema Msigwa.

Kaimu afisa maendeleo ya jamii anayeshughulika na makundi ya wanawake,vijana na watu wenye hali ya ulemavu Yasinta Nkyabonaki, alisema kwa kutambua umuhimu wa makundi hayo Halmashauri imetoa fedha kiasi cha shilingi million hamsini ili kusaidia makundi hayo kujikwamua kiuchumi.

Alisema,wanawake wakiwezeshwa watakuwa na uwezo wa kulea familia zao na kuondokana na hali ya ukali ambao wakati mwingine umekuwa ukifanyika  pengine kutokana na manyanyaso kutoka kwenye koo au familia zao husika.

Awali akizungumza na hadhara ya wanawake kupitia maadhimisho hayo mkuu wa wilaya hiyo Tano Mwela, alisisitiza wananchi kujiepusha na vitendo vya ukatili kwa kuchukua hatua na kutoa taarifa za uwepo wa matukio hayo kwenye maeneo yao husika ili serikali iweze kuchukua hatua.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA KALAMBO YAFIKIA ASILIMIA 120 UKUSANYAJI WA MAPATO.

    June 27, 2025
  • HALMASHAURI YA KALAMBO YAFIKIA ASILIMIA 120 UKUSANYAJI WA MAPATO.

    June 27, 2025
  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.