• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

WATU 157,253 KUPIGA KURA OKTOBA 2025 JIMBO LA KALAMBO.

Posted on: October 19th, 2025

Msimamizi wa uchaguzi jimbo la Kalambo mkoani Rukwa Ndugu Ramadhan Mabula, amesema watu 157,253 ambao walijitokeza kujiandikisha katika Daftari la kudumu la wapiga kura,wanatarajia kupiga kura Oktoba 29 /2025 katika vituo 408 ili kumchagua Rais, Wabunge na Madiwani.

Amesema uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani utafanyika siku ya Jumatano tarehe 29. Oktoba 2025 na kwamba vituo vitafunguliwa kuanzia saa moja kamili (1;00) Asubuhi na kufungwa saa kumi kamili (10;00) jioni.

Aidha ametumia fursa hiyo kuwataka wananchi wote kupitia taarifa hizo ili kutambua mapema vituo vitakavyo tumika kupiga kura ikiwemo kuona mifano ya karatasi za kupigia kura.

‘’kwa mpiga kura aliyepoteza kadi yake ambaye alijiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura , ataruhusiwa kupiga kura endapo atafika katika kituo alichopangiwa akiwa na leseni ya udereva au pas ya kusafiria au kitambulisho cha taifa (NIDA) majina ya kitambulisho mbadala atakacho wasilisha yawe yanafanana na yaliyomo kwenye Daftari la kudumu la wapiga kura .’’alisema Mabula.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • WATU 157,253 KUPIGA KURA OKTOBA 2025 JIMBO LA KALAMBO.

    October 19, 2025
  • WAKULIMA KALAMBO WATAKIWA KUTUMIA MBOLEA KUONGEZA UZALISHAJI WA MAZAO YA NAFAKA.

    October 15, 2025
  • WANANCHI KALAMBO WATAKIWA KUCHUKUA TAHADHARI YA MAGOJWA YA MILIPUKO.

    October 09, 2025
  • MAAFISA BAJETI, IDARA NA VITENGO KALAMBO WAJENGEWA UWEZO NAMNA YA KUANDAA BAJETI KWA TIJA.

    October 08, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.