• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Watu 18 Raia Wa Zambia Wakamatwa Kwa Kosa La Kuingia Nchini Bila Vibali .Huku Watanzania 10 Wakinaswa Kwa Kuwahifadhi Watu Hao’’kalambo’’

Posted on: March 23rd, 2020

Watu 18 raia wa nchi jirani ya Zambia wanashikiliwa na idara ya uhamiji mkoani Rukwa kwa tuhuma za kuingia nchini kupitia mpaka wa Kasesha  wilayani Kalambo bila vibali na huku wananchi wakiitaka idara hiyo kuwachukulia hatua kali za kisheria ikiwemo kuwafikisha mahakamani watazania waliohusika kuwasafarisha  na kuwahifadhi watu hao.

Hatua hiyo imekuja kufuatia idara ya  uhamiaji  kufanya  msako  mkali  katika mpaka  wa Kasesha wilayani Kalambo  na kuwakamata watanzania kumi ambao  walikamatwa kwa kosa la kuwahifadhi watu ambao ni  raia wa nchi  jirani ya Zambia  kinyume na utaratibu.

 Kamishina msaidizi wa uhamiji mkoani Rukwa Elizeus Mshongi, alisema‘’watu kumi na moja ambao ni raia wa nchi jirani ya Zambia wamerejeshwa katika nchi yao  kutokana na wengine kuwa wazee na wengine kuwa wagonjwa, na watu wengine saba ambao ni raia wa nchi hiyo walifikishwa katika mahakama ya wilaya ya Kalambo na kuhukumiwa kutumikia kufungo cha miezi sita au kulipa faini ya shilingi laki tano kwa kila mmoja na msako bado unaendelea.alisema Mshongi.

Alisema licha ya hilo watu 6 raia wa nchini Ethiopia wanashikiliwa na idara ya  uhamiaji  kwa kosa la kuingia nchi bila  vibali na kusema watu hao walikamatwa  wakiwa na pasipoti za Kenya na huku vitambulisho vyao vikiwa ni vya Ethiopia .

‘’Baada ya  kuwapekuwa Zaidi walikutwa na pasipoti zinazoonyesha  kuwa walipitia  katika kituo cha uhamiaji cha Namanga kilichopo mkoani Arusha lakini baada ya kujiridhisha Zaidi  kupitia maafisa uhamiaji waliopo kwenye eneo hilo waligundua walikataa kuwapokea wahamiaji hao na kugundua kuwa pasipoti zao zilikuwa feki’’.alisema Mshongi.

Aidha aliwataka wananchi kuacha kuwahifadhi wahamijia  hao nakuahidi  kuchukua  hatua kali za kisheria kwa watanzania ambao watabainika kuwahifadhi watu  kutoka nchini zingine kinyume na utaratibu.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.