• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Watu 47 Wakosa Makazi Na Nyumba13 Kubomoka mkoani Rukwa

Posted on: January 18th, 2020


KAYA 47 zimebaki bila makazi baada ya nyumba 13 kubomoka kutokana na mvua kubwa iliyonyesha juzi katika kijiji cha kasitu kata ya sopa wilayani kalambo mkoani Rukwa.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti baada ya tukio hilo kutokea ,wakazi wa kijiji hicho walisema kuwa mvua hiyo ilikuwa kubwa na imeambatana na upepo mkali ilianza kunyesha majira ya saa nane na  dakika  arobaini  na tano mchana na kusababisha kubomoka nyumba hizo.

Anold Yolam,mkazi wa kijiji hicho alisema kuwa baadhi ya watu ambao nyumba zao zimebomoka wamepewa hifadhi kwa mwenyekiti wa serikali ya kijiji na wengine wamepewa hifadhi kwa majirani na kuiomba serikali iwasaidie.

Naye Jeriko Malema alisema kuwa mvua hiyo ilinyesha kwa muda mfupi lakini iliambatana na upepo mkali na hali itasababisha kubomoka kwa nyumba hizo.

Kwaupande wake ofisa mtendaji wa kijiji hicho Gasper Kateka alithibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema kuwa nyumba 13 zimeanguka na kuwaacha watu 47 bila makazi.

Alisema kuwa baadhi ya wananchi ambao nyumba zao zimebomoka wamepewa hifadhi kwa mwenyekiti wa kijiji na wengine kwa majirani wakati wakisubiri msaada zaidi.

Mwenyekiti wa kijiji hicho John Sizo alisema kuwa wananchi wengine ambao hawakupatwa na janga hilo wanawajibu wa kuwasaidia watu waliopatwa na maafa hayo.

Mkuu wa wilaya ya Kalambo Just Binyura alisema kuwa kutokea tukio hilo limetokana na wananchi kutojenga nyumba imara na zenye ubora kwani ndizo zitakazo saidia kuondokana na adha hiyo.

Alisema nyumba nyingi zilizo athirika hazikuwa zimejengwa kwa kufuata taratibu za ujenzi bora hivyo wananchi wanapaswa kuwashirikisha wataamu wa halmashauri pindi wanapo jenga nyumba zao ili wawape ushauri wa namna ya kujenga nyumba bora.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.