• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Watumishi Watakao Kwamisha Zoezi La Uchaguzi Chamoto Kukiona.

Posted on: July 19th, 2019


Wakati tukielekea kufanya uchuguzi wa mkuu wa serikali za mitaa hapa nchini, watumishi wa uma mkoani Rukwa wameshauliwa kuendelea kufanyakazi kwa uadilifu na kuzingatia kanuni na miongozo iliowekwa kwa kutekeleza majukumu yao bila kusukumwa na mtu.

Kumekwepo na changamoto ya baadhi ya watumishi kutozingatia kanuni na miongozo ya utumishi wa uma hususani wakati wa utekelezaji wa majukumu yao kwenye maeoneo yao husika na  kupelekea baadhi ya kazi  kutofanyika kwa ufasaha.

Awali akiongea kupitia madhimisho ya wiki ya utumishi wa uma wilayani kalambo katibu tawala msaidizi mkoani Rukwa Winnie Kijazi alisema kila mtumishi anawajibu wa kufanya kazi kwa bidii kwa lengo la kufikia malengo yaliokusudiwa na serikali.

‘’tunaelekea katika uchaguzi mkuu wa serikali za mitaa hivyo ningependa kila mtumishi awajibike kwa nafasi yake kwa kufanya kazi kwa bidii na kwa kufuata miongozo sahihi iliwekwa  na serikali ya jamhuri ya mungano wa Tanzania’’Alisema kijazi.

Dolice Mzigilwa  katoka  idara ya utawa ofisi ya mkuu wa mkoa ,alisema kila mtumishi anawajibu wa kuheshimu  sheria zilizowekwa na jamhuri ya mungano wa Tanzania.

‘’kila mtumishi anawajibu wa kufanyakazi  bila  kumuonea mtu na kwa kuzingatia maadili ya kazi yake bila  kuangalia sura ya  mtu au watu’’alisemaMzingilwa.

Dues kaetamu mwangazi ofis ya mkuu wa mkoa  alisema kila mtumishi  anawajibu  wa kujenga mazoea  ya kusoma katiba ya jamhuri ya mungano waTanzania ili  kuelewa  kile kilicho andikwa na kukitendea kazi.

Kaimu mkurugezi mtendaji halmashauri ya wilaya ya kalambo Nikoraus Mlango amewataka  watumishi  wote kujenga  mazoea ya kujaza fomu za opras  ambazo zitawasaidia  kupanda madaraja  kwa  wakati.

‘’niwakumbushe  tu watumishi wangu kuwa ni muhimu  kujaza fomu  za opras   kutokana  na kuwa  na manufaa mengi ikiwemo kupima uwezo wa kazi pamoja na kuwasaidia kupanda madaraja  kwa wakati’’alisema mlango.

Hata  hivyo halmashauri ya wilaya ya kalambo imefanikiwa kubalisha  muundo watumishi 52 na huku  watumishi  661 barua  zao  zikiwa zimetumwa  kwenye mfumo wa malipo na huku kauli mbiu  ya katika madhimisho ya wiki ya utumishi wa uma ikiwa ni uhusiano kati ya uwezeshwaji wa vijana na usimamizi wa masuala ya uhamiaji ,kujenga utamaduni wa utawala bora,matumizi yaTehama na ubunifu katika utoaji wa huduma jumuishi.

 

 

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.