• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Watumishi Watoro Kujadiliwa Na Baraza La Madiwani.

Posted on: November 12th, 2019


HALMASHAURI ya wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa imeanzisha utaratibu wa kuwatambua watumishi wanaofanya kazi kwa bidii kwa kuwatunuku vyeti pamoja na zawadi mbalimbali na si kusubiri kipindi cha sikukuu ya wafanyakazi, mei mosi lengo ni kuongeza ufanisi wa kazi.

Afisa utumishi na utawala Halmashauri hiyo Amandus Mtani, alisema baadhi ya watumishi wamekuwa wakifanya kazi kwa mazoea na huku wengine wakifanya kazi kwa kujituma.

Alisema kuwa kwa kutambua hilo Halmashauri imeanzisha utarabu maalumu wa kuwatambua wafanyakazi wake wanaojituma katika kutekeleza kuwahudumia wananchi na kuwatunuku vyeti pamoja fedha.

Afisa utumishi huyo alisema sambamba na hilo Halmashauri imeweka utaratibu wa kuwafikisha kwenye baraza la madiwani watumishi ambao wamekuwa wakitoroka kwenye vituo vya kazi na kusababisha kazi za serikali kukwama ili wajadiliwe.

Aliyasema hayo wakati akikabidhi vyeti na zawadi mbalimbali katika baraza la madiwani lililoketi katika ukumbi wa Halmashauri hiyo.

Katika kipindi cha robo ya kwanza ya mwaka 2019/20, halmashauri imetoa vyeti kwa wafanyakazi ambao ni watumishi na ambao si watumishi wa serikali wapatao kumi.

Aliwataja watumishi hao kuwa ni Magreth Kakoyo afisanyuki, Eva mkunda afisa Rasilimali watu ,Mariam Kimashi afisa maendeleo ya Jamii, Ibrahim Simbakavu dereva, Baraka Mazengo katibu wa vikao, Denis Mwapepe katibu wa vikao, na Saidi Rajabu Mhasibu Msaidizi.

Alisema licha ya hao waligawa vyeti na zawadi kwa wafanyakazi watatu ambao si watumishi ambao ni Omari Fundikira dereva,Pasko Msumeno mhudumu na John Fedha, mhudumu na kusema wote hao walikuwa wakifanya kazi kwa kujituma na kuonesha nidhaamu mahali pa kazi.

Mwenyekiti wa halmashauri hiyo Daudi Sichone ,alitumia fursa hiyo kuwataka watumishi kufaanya kazi kwa bidii ikiwa ni pamoja na kuepuka vitendo vya utoro wakati wa muda wa kazi.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.