• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Zaidi Ya 138 Za Bomoka Na Watu 139 Wakosa Makazi.

Posted on: May 1st, 2020


ZAIDI ya nyumba138 zimebomoka na watu139 kukosa makazi katika kijiji cha Kipwa kilichopo katika kata ya Kasanga wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa baada ya maji ya ziwa Tanganyika kuzingira makazi yao huku wahanga wa tukio hilo wakihifadhiwa kwa ndugu jamaa na majirani kutokana na nyumba zao kubomoka na nyingine kujaa maji.

Kijiji cha kipwa kinapatikana mpakani mwa nchi ya Tanzania na Zambia na kinajumla ya kaya 321, licha  ya hilo kijiji hicho kilianza kuzingirwa na maji tangu february 2020 huku zaidi ya nyumba 138 zikibomoka mpaka kufikia hivi sasa. 

 Wakazi wa kijiji hicho wakiongozwa na Joseph Simtowe, wamebainisha kuwa hali ya maji kujaa katika maeneo hayo ilianza tangu  februal 2020, ambapo maji  yalianza kusogea taratibu na kujikuta kwenye  wakati  mgumu baada ya  kusogea  hadi kijijini  na kuzingira makazi yao na baadhi yao kukosa mahali kwa kujihifadhi.

Walisema serikali hainabudi  kuwasaidia  vitu mbalimbali  ikiwemo chakula, pamoja na matenti kwa lengo la kuwasaidia pindi watakapo hamia katika maeneo ya milima  Mawesande ambako wanatarajia kuhamia hivi karibuni.

Hali  hiyo imepelekea kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya  hiyo ikiongozwa na mkuu wa wilaya  hiyo Julieth Binyura , “tumeona  madhara ni makubwa sana na tumechukua tathimini kwa kila nyumba ili siku tutakapo rudi tena tujue tunawasaidiaje”  alisema Binyura.

Katibu  tawala  wilayani  humo  Frank Schalwe, alisema  nyumba 139 zimeanguka  na nyumaba 41 ziko  hatarini  kuanguka  na kusema serikali itaendelea kuwa karibu  ili kuweza kuwasaidia.

Afisa ardhi  wilayani humo Nikoraus Ntajiri, alisema uongozi  wa  Halmashauri  hiyo  tayari umetenga  maeneo  mapya  ya  makazi katika milima wa  Mawe sande  na elimu imetolewa kwa wananchi juu ya kujenga kwa mipango miji.

Taarifa  kutoka kijijini  hapo zinaeleza kuwa  tukio hilo ni la pili  kujitokeza ambapo mwaka 2003 kijiji hicho kiliwahi kupata janga la moto na hivi sasa  kujitokeza  kwa maji ya ziwa hilo kuzingira makazi yao.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.