• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Zaidi Ya Kaya 4545 Za Nuafaka Na Mpango Wa Tasafu ‘’Kalambo

Posted on: August 20th, 2019


Mkuu wa wilaya ya kalambo mkoani Rukwa Julieth Binyura amezitaka kaya masikini zinazowezeshwa kupitia mfuko wa tasafu kuzitumia vizuri fedha wanazopatiwa na serikali kwa kuzielekeza zaidi katika shughuli mbalimbali za maendeleo yao binafusi na kuwasaidia kujikwamua na hali ya kiuchumi.

Binyura ameyasema hayo wakati wa ukaguzi wa utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo inayofanywa  wananufaika wa mpango wa tasafu katika vijiji vya Jengeni na Safu vilivyopo mpakani mwa nchi ya Tanzania na Zambia wilayani kalambo mkoani hapa.

Amesema amelazimika kuanzisha oparesheni ya ukaguzi wa wanufaika wa mradi huo kutokana na   kuwepo kwa malalamiko kwa badhi ya maeneo kupewa fedha watu ambao sio walengwa  wa mradi huo.

Mratibu  wa  mradi  tasafu wilayani humo Michael Mwasumbi amesema fedha  hizo hutolewa  kulingana na hali

‘’kwa mwaka 2019 kaya 4545 katika vijiji 66 vimeingizwa kwenye mpango wa kunusuru kaya masikini , ambapo kiasi  cha  shilingi milioni 1,244,000/=zimelipwa  katika  kijiji cha Jengeni  na kiasi cha  shilingi milioni 1,920,000/= zimelipwa  katika kijiji cha Safu vyote vinapatikana mpakani  mwa nchi  ya Tanzania  na Zambia.’’alisema Mwasumbi.

Baadhi ya wanufaika wa mfuko huo wilayani humo wamempongeza Raisi wa jamhuri ya mungano wa Tanzania John Pombe Magufuli kwa kuwapatia fedha hizo kwani zimewasaidia  kwa kiasi  kikubwa katika  kuendeleza  maisha  yao.

Palizoni Mpinya mnufaika wa  mpango  wa  tasafu  katika  kijiji  cha Jengeni  amesema wanampongeza  Raisi Magufuli kwa  kutoa  fedha  hizo  kwani zimekuwa msaada  mkubwa  katika  maisha yao  kwa ujumla hususani  katika  kusimesha   watoto  waao pamoja  na kuendeleza miradi mingine.

‘’tunasomesha  watoto pia  tunavaa kutokana na miradi ya tasafu, hivyo hatunasababu  ya  kumshukuru mh.Raisi  kwa kutangalia  sisi  wanyonge hususani  katika  kutupatia fedha  hizi.’’alisema mnufaika  huyo.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.