• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Zaidi Ya Wakazi 35,954 Waanza Kunufaika Na Utalii

Posted on: June 25th, 2020


ZAIDI ya wakazi 35,954 kutoka vijiji kumi na sita (16) vya kata ya Mpombwe na Mkoe wilayani Kalambo mkoani Rukwa wameanza kunufaika na uwepo wa vivutio vya utalii ikiwemo maporomko ya Kalambo fallse kutokana na serikali kupasua barabara mpya yenye urefu wa km16.0 kupitia hifadhi ya mto Kalambo ili kuwawezesha watalii kufika  kwa urahisi ikiwa ni pamoja na wananchi kujiajili

Barabara hiyo yenye urefu wa km 16.0 imegharimu kiasi cha shilingi million 132. 7 na kupitia katika hifadhi asilia ya mto Kalambo kuelekea maporomoko ya Kalambo fallse yaliyopo mpakani kati ya nchi ya Tanzania na Zambia.

Akisoma taarifa ya utekelezaji wa mradi  huo Kaimu Meneja wa wakala wa  huduma  za barabara za vijijini na mjini TARULA mkoani Rukwa, Rashid Katema, amebainisha kuwa  mradi  wa barabara ya Kawala Kapozwa  ulisainiwa 20 may 2020  kati ya meneja  wa kanda wakala wa huduma za  misitu Tanzania  kanda ya  nyanda za juu  kusini  na mkandarasi  M/s F.M.W  Tradingi  company limted.

Alisema mradi huo ulisainiwa kwa gharama ya shilingi million mia moja (100,000,000)  na muda wa utekelezaji ikiwa ni mwezi mmoja.

“baada ya kusainiwa mkataba, mradi  wa ujenzi wa barabara kilometa sita na mita mia sita kwa kiwango cha changarawe katika barabara ya Kawala –Kapozwa  ulianza kutekelezwa kufukia mashimo madogo madogo  yaliyokuwepo barabarani, kuchonga barabara kwa mkato mzito kilometa 6.6 (Heavy grading) kumwaga changarawe kilometa 4 pamoja na ulazaji wa makalavati.

Alisema mpaka sasa hajaomba fedha  na amefanikiwa  kufanya kazi kwa asilimia 90 na kusema kwa sasa wanakabiliwa na changamoto ya ufinyu wa bajeti ili kuikarabati barabra hiyo kila mwaka.

 Meneja wa  huduma za uhifadhi wa misitu Tanzania wilayani  Kalambo Joseph Chezue, amesema  msitu wa hifadhi  ya Kalambo unaukubwa wa hekta 43,334 na  mpaka  wenye urefu wa kilometa 197 .71 na kusema msitu huo umerasimishwa kuwa mazingira asilia  tangu februal 2019 kwa  kuunganishwa misitu miwili  yaani msitu  wa hifadhi  ya mto Kalambo na msitu wa Maporomoko ya Kalambo kuwa msitu wa hifadhi ya mazingira asilia.

Akikagua barabra hiyo mkuu wa  mkoa  huo Joachim Wangabo, amesema  barabara  hiyo inapaswa kukarabatiwa kila wakati ili iweze kupitika katika misimu yote  kutokana na kuwa muhimu  kwa utalii.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.