• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

ZAIDI YA WATUMISHI 400 WAJITOKEZA KUSHIRIKI MAZOEZI YA VIONGO {AEROBICS EXERCISE}

Posted on: February 14th, 2020

Zaidi ya watumishi 400 kutoka Halmashauri za Kalambo, Nkasi na Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa wameungana kwa pamoja na kuanzisha klabu ya mazoezi ya viungo vya mwili [AEROBICS EXERCISE] lengo likiwa ni kuimarisha afya zao ili kuepukana na magonjwa yatokanayo na uvivu,saikolojia na yasiyokuwa ya kuambukiza.

Akifungua klabu ya mazoezi hayo yaliyofanyika katika Wilaya ya Nkasi mkoani humo  mganga mkuu wa mkoa Boniface Kasururu , amesema michezo ni afya na ni kinga ya maradhi mengi hivyo kila mwananchi anapaswa  kuzingatia kauli iliyoungwa mkono  na mkuu wa Wilaya ya Nkasi Saidi  Mtanda.

Amesema  kila  mtu  ana wajibu  wa  kushiriki  kwenye  mazoezi  hayo  kwani  ni muhimu kwa  afya  zetu.

‘’sasa  magonjwa  ya  kuambukiza  yameshika  kasi  kubwa, kama vile  kisukari na shinikizo la damu. Lakini kikubwa  tunashauriwa kufanya mazoezi kila  wakati  ili  kuondokana  na  matatizo  kama  hayo.’’

Kwa  upande wake Mkuu wa Wilaya ya Nkasi Saidi Mtanda , aliwataka  wananchi   kujenga  tabia  ya  kufanya  mazoezi  kila  wakati  kwa  lengo  la  kusaidia  mwili  kuwa  sawa, kuwaleta vijana pamoja ili waweze kubadilishana mawazo kwa ajili ya maendeleo yao  ikiwa  ni pamoja  na kuepukana na magonjwa   yasiyo  kuwa  ya  kuambukiza.

Baadhi ya washiriki wa michezo hiyo ,wamesema licha ya kutekeleza  agiz la Makamu  wa  Raisi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania mama Samia Suluhu Hasan, michezo hiyo inawasaidia  kuimarisha afya zao.

Afisa Utumishi na Utawala Wilayani  Kalambo mkoani  humo Amandus  Mtani, amesema lengo  la michezo hiyo ni kutekeleza  agizo  la makamu  wa  Rais ambalo  alilitoa  kwa  kuwataka  wananchi  kufanya  mazoezi.

‘’ Tunafanya mazoezi kwa sababu ni tiba na sio adhabu lakini kitu kinachotusumbua ni uvivu na uelewa mdogo.‘’Alisema  Mtani.

Katibu wa michezo wilayani humo Baraka  mazengo , alisema  mwitikio  wa watu ni mkubwa  na  kusema lengo  kubwa  ni  kuhamasisha  watu  kushiriki  kwenye  michezo .

‘’tumekutana  na makundi yote ya watu ambao wamefika eneo hilo  na kushiriki kwenye michezo hii ya  ambayo imefanyika  hapa wilayani  Nkasi.

Hata hivyo tangu kuanzishwa kwa mazoezi hayo, wilaya ya kalambo  imefanikiwa kuwa na washiriki wapatao hamsini na kushiriki mazoezi  hayo  kila siku na kufanyika katika soko kuu la mazao Matai.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.