Posted on: March 18th, 2020
Waziri mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa ametangaza ongezeko la wagonjwa wa corona baada ya watu wengine wawili kuthibitishwa visiwani Zanzibar na Dar es Salaam. Wagonjwa wote ni raia wa kigeni.
Sik...
Posted on: March 16th, 2020
Mkurugenzi wa Manispaa ya Sumbawanga Jacob Mtalitinya amepata fursa ya kutembelea soko kuu la samaki Kasanga Wilayani Kalambo ambalo linategemewa kukusanya zaidi ya shilingi million mia moja kwa mwaka...
Posted on: March 13th, 2020
Rais wa Tanzania, John Magufuli ametoa tahadhari kuhusu ugonjwa unaotokana na virusi vya corona, akiwataka kutopuuza kwani mpaka sasa umegharimu maisha ya watu wengi duniani.
Amezungumza na Umma wa...