Posted on: November 5th, 2019
Wabunge nchini Tanzania wataanza kutumia tablet kwa ajili ya kazi za bunge, huku bunge hilo likiondokana na matumizi ya karatasi.
Wabunge walikabidhiwa vifaa hivyo Jumatatu kabla ya kuanza kwa vika...
Posted on: November 4th, 2019
Charles Kichere ni nani?
Alisomea elimu ya juu katika Chuo Kikuu cha Dar-Es-Salaam na chuo kikuu cha Tumaini, mjini Dar Es Salaam.
Kichere aliwahi kuwa naibu kamishna mkuu wa TRA.
Mnamo tareh...
Posted on: November 4th, 2019
Rais wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli amemtaka CAG mpya Charles Kichere kutojifanya mhimili, badala yake awe mtiifu kwa mihimili anapoagizwa kutekeleza majukumu.
Bwana Kichere na watumishi wengi...