Posted on: June 4th, 2020
Ephraim M. Moses alizaliwa mnamo tarehe 18/04/1966 katika kijiji cha Mwakaleli Wilaya ya Rungwe.
Marehemu alimaliza shule ya msingi Kandete mwaka 1982, na kujiunga na mafunzo ya Ualimu nga...
Posted on: May 29th, 2020
TAARIFA ZA HIVI PUNDE.
Kwa mujibu wa afisa utumishi na utawala wilayani humo ni kuwa marehemu amefariki wakati akipatiwa matibabumjini Sumbawanga.
TAARIFA ZAIDI ZITAFUTA………………………...
Posted on: May 28th, 2020
Wananchi wa kijiji cha Mbuluma wilayani Kalambo mkoani Rukwa wamemuua kwa kumchoma moto Amosi Kapufi miaka 22 mkazi wa kijiji cha Myunga baada ya kumchoma kisu mtoto wa dada yake aliefahamika...