• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

DC KALAMBO AKABIDHI PIKIPIKI 3 KWA MAAFISA MIFUGO

Posted on: January 9th, 2026


Mkuu wa wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa Dkt, Lazaro Komba amekabidhi pikipiki 3 kwa maafisa mifugo zitakazo Saidia kufanya ufuatiliaji wa magonjwa ya mifugo na utoaji wa chanjo na kuwataka maafisa mifugo kuweka mfumo rafiki utakao wezesha upatikanaji wa mbegu bora za mifugo ambazo zitawezesha wafugaji kuzalisha na kufuga kwa tija.

 Ameyasema hayo wakati akikabidhi pikipiki 3 kwa maafisa mifugo wilayani humo na kusema lengo la serikali ni kurahisha shughuli za utendaji kazi ikiwemo ufuatiliaji wa magonjwa ya mifugo na utoaji chanjo kwenye mifugo.

Pamoja na mambo mengine amewataka kuzingatia utunzaji wa vifaa hivyo ili viweze kudumu kwa muda mrefu.

Kwa upande wake Mbunge wa jimbo hilo Mhe. Edifonce Kanoni ametumia fursa hiyo kuipongeza Serikali kwa kutoa vitendea kazi hivyo na kuwataka wafugaji kufuga kisasa na kwa tija ikiwemo kutafuta mbegu bora za mifugo ambazo zitawawezesha kupata mavuno bora.

 Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo ambae pia ni Mkuu wa Divishen ya kilimo na mifugo Ndugu Nicholaus Mlango ametumia fursa hiyo kuwataka maafisa hao kufanya kazi kwa weledi na kwakuzingatia miongozo ya Serikali.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • DC KALAMBO AKABIDHI PIKIPIKI 3 KWA MAAFISA MIFUGO

    January 09, 2026
  • DC KALAMBO AKABIDHI PIKIPIKI 3 KWA MAAFISA MIFUGO

    January 09, 2026
  • BILIONI 1.6 ZATOLEA NA SERIKALI KUJENGA CHUJIO LA MAJI KATIKA MJI MDOGO WA MATAI.

    January 07, 2026
  • BILIONI 1.6 ZATOLEA NA SERIKALI KUJENGA CHUJIO LA MAJI KATIKA MJI MDOGO WA MATAI.

    January 07, 2026
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.