• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Maendeleo ya Jamii

Sekta ya Maendeleo ya jamii

Wilaya kupitia sekta ya Maendeleo ya Jamii imefanikiwa kusajili vikundi vya kijamii 217. Kati ya vikundi hivyo, vikundi 11 vya wanawake na vijana vimeweza kupatiwa mkopo wenye jumla ya shilingi 17,144,000/= kupitia mfuko wa WDF na kikundi kimoja cha vijana kati ya hivyo kimepatiwa mkopo kutoka Wizara ya Vijana, Utamaduni na Michezo. Kati ya Vikundi hivyo 11, vikundi vine (4) vimerejesha mkopo wote mapema na vilivyobaki saba (7) bado havijarejesha mkopo wao wa kiasi cha Tshs.10,326,000/=.

Mpango wa kunusuru kaya maskini – TASAF

Wilaya ya Kalambo kupitia Mfuko wa TASAF awamu ya tatu katika kipindi cha Julai 2015 hadi Juni 2016 imepokea Jumla ya shilingi 1,198,188,000/=, ambapo matumizi yake ni kiasi cha shilingi 1,197,079,757.28 kupitia Mpango wa kunusuru kaya masikini. Kaya zipatazo 4,674 zimeweza kufikiwa kupitia mpango huu katika vijiji 66 vilivyopo kwenye mpango.

Taarifa dhidi ya mapambano ya UKIMWI

Wilaya ina wateja 1195 wa tiba na matunzo, na walio katika dawa za kupunguza makali ya VVU/UKIMWI ni 1098, na watoto chini ya miaka 5 walioko katika dawa ni 57.

Huduma zitolewazo na Sekta ya Ukimwi

  • Kusimamia, kufuatilia, kuratibu na kutathmini utekelezaji wa shughuli Afua za UKIMWI katika Halmashauri
  • Kutekeleza afua/shughuli mbalimbali za UKIMWI
  • Kuhakiki uundwaji wa kamati za kudhibiti UKIMWI za kata na vijiji
  • Kuboresha takwimu mbalimbali na kuzisambaza kwa wadau mbalimbali watekelezaji wa shughuli (Afua ) za UKIMWI
  • Kuwezesha vijiji, asasi za kiraia na wadau wengine katika kuandaa na kutekeleza mipango shirikishi jamii ya udhibiti UKIMWI
  • Kutoa ushauri kwa watekelezaji na afua za VVU naUKIMWI
  • Kusambaza vipeperushi, majarida na vitabu mbalimbali vya masuala ya elimu ya UKIMWI.
  • Kufanikisha mikutano ya CMAC, Kamati za Kata za kudhibiti UKIMWI
  • Kusambaza misaada kwa makundi maalumu yakiwemo makundi ya watoto yatima na waishio katika mazingira magumu, kaya duni, Watu waishio na VVU/UKIMWI(PLHAs), Wajane, wagane, Kaya zinazoongozwa na yatima, watu wenye ulemavu.

Mafanikio dhidi ya maambukizi mapya ya VVU/UKIMWI

  • Mambukizi ya VVU/UKIMWI yamepungua kutoka 2.8% 2013 hadi 2.3% 2016
  • Vituo vya upimaji wa hiari wa VVU/UKIMWI vimeongezeka kutoka 13 hadi 47
  • Vituo vya PMCTC vimeongezeka kutoka 22 hadi 32
  • Wilaya imepata mashine ya kupima CD4 kutoka katika shirika la WRP

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.