• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Ujenzi

Wilaya ya Kalambo katika Sekta ya Ujenzi ina jumla ya watumishi kumi na wawili (12) ambao kati ya hao, Wahandisi ni watano (5), Fundi sanifu watano (5) pamoja na Madereva wawili (2). Wilaya inahudumia mtandao wa barabara wenye urefu wa Km. 846.6 ambapo kati ya hizo Km. 188.1 ni za kiwango cha changarawe na Km. 652.5 ni za udongo.

Katika mwaka wa fedha 2015/2016, Wilaya imeidhinishiwa kiasi cha Tshs. 643,530,000.00

Utekelezaji wa miradi ya ujenzi

  • Mpaka sasa Wilaya katika Sekta ya Ujenzi inaendelea kutekeleza miradi ya mwaka wa Fedha 2014/2015 ambapo miradi tisa (9) imekamilika na miradi mitatu (3) inaendelea.

Jedwali Na. 18: Utekelezaji wa Miradi ya Ujenzi

Na.
JINA LA MRADI
UREFU (Km.)
HALI YA MRADI
1
Kiundi – Madibila
10.2
Umekamilika
2
Myunga – Kaengesa Mikonko – Sengakalonje
7.5 18
Umekamilika
3
Mtula – Mosi
8.5
Umekamilika
4
Mkombo – Mlenje
13
Umekamilika
5
Msanzi – Mao
10
Umekamilika
6
Chelenganya – Katuka
5
Umekamilika
7
Kasanga – Kilewani
3
Umekamilika
8
Kalembe – Utengule
12
Umekamilika
9
Kawala – Kapozwa
16
Umekamilika
10
Kifone – Ilambila
7
Haujakamilika
11
Katazi – Kafukula – Kanyezi
20
Haujakamilika
12
Kaluko – Ngoma – Kamawe
11.5
Haujakamilika

 

Miradi ya mwaka wa fedha 2015/2016

  • Miradi mitatu ya barabara kwa mwaka wa fedha 2015/2016 kazi zimeanza kutekelezwa Julai 2016 na miradi mingine mitatu ya barabara kwa mwaka 2015/16 ipo katika hatua ya manunuzi.

Mapokezi ya fedha

  • Hadi kufikia tarehe 30 Juni, 2016 Wilaya imepokea kiasi cha Tsh 927,864,464.84 ambapo kati ya hizo shilingi 888,765,390.80 ni kwa ajili ya miradi ya mwaka wa Fedha 2014/2015 na shilingi 39,099,074.04 ni mapokezi ya fedha za miradi ya mwaka wa Fedha 2015/2016.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.