• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Ardhi na Maliasili

SEKTA YA ARDHI.

Wilaya kupitia Sekta ya Ardhi imeendelea na majukumu yake ya upimaji wa viwanja, upangaji miji, utatuzi wa migogoro ya Ardhi na umilikishaji wa Ardhi kwa mujibu wa kanuni, taratibu na sheria.

Upimaji wa viwanja na vijiji.

Hadi kufikia Agosti 2016, maeneo mbalimbali ya Wilaya yamepimwa ambapo jumla ya viwanja 1,538 vimepimwa kama inavyoonyesha kwenye jedwali hapo chini.

Jedwali Na. 24: Maeneo yaliyopimwa viwanja.

Eneo/Kata
Lyowa
Kasanga
Matai
Mikonko
Kapozwa
Mkangale

Idadi ya viwanja

182

414

531

34

365

12

Chanzo: Idara ya Ardhi Agosti 2016

Utoaji wa hati miliki.

Jumla ya hati miliki 331 za kisheria na hati miliki za kimila 390 zimetolewa.

Mpango wa uandaaji wa ‘Master Plan’ ya miji yetu.

Kutokana na gharama kubwa za uandaaji wa master plan, mpaka sasa Wilaya haijaweza kuandaa ‘Master Plan’. Katika kukabiliana na changamoto hiyo Wilaya kupitia idara ya Ardhi imeandaa michoro ya mipango miji 16 yenye viwanja 6,170 vya matumizi mbalimbali na upimaji zaidi unaendelea ili kuzuia ujenzi holela.

Ulipaji wa fidia kwenye maeneo yaliyofanyiwa uthamini.

Wilaya kupitia idara ya ardhi imefanya uthamini kwa ajili ya fidia kwa wananchi 47 ambao maeneo yao yalitwaliwa kupisha uchimbaji wa mfereji wa kuzuia maji toka mlimani, ujenzi wa barabara na baadhi ya maeneo yaliyopimwa viwanja. Hadi kufikia tarehe 30, Julai 2016 wananchi 7 kati ya 47 wamelipwa kiasi cha shilingi 4,960,632 fedha zilizotokana na mauzo ya fomu za maombi ya viwanja. Pia tutaendelea kulipa fidia kwa wananchi wote kadiri tutakavyo pata fedha kutokana na mauzo ya viwanja.

Mpango wa matumizi bora ya ardhi.

Kutokana na ufinyu wa Bajeti Wilaya imeweza kuandaa mpango wa matumizi bora ya Ardhi kwa Vijiji 12 kati ya vijiji 111 vilivyopo. Wilaya inatambua kuwa mpango wa matumizi bora ya ardhi ni njia pekee ya kuondoa migogoro mingi ya ardhi inayojitokeza baina ya wakulima na wafugaji. Wilaya itaendelea kupima na kuandaa mpango wa matumizi bora ya ardhi wa vijiji vilivyobaki kadiri fedha itakavyokuwa inapatikana.

Migogoro ya ardhi na utatuzi wake.

Ulijitokeza mgogoro wa kijiji cha Katapulo na kampuni ya ranchi ya kalambo na ukatatuliwa na mkurugenzi wa upimaji ramani ambaye alitoa maelekezo kwa kijiji kuzingatia mipaka iliyopimwa. Pia mgogoro wa Serikali ya Kijiji cha Mao na Mwananchi mmoja, wataalam toka ngazi ya Wilaya walifanya usuluhishi lakini pande hizo mbili hazikukubaliana kwa ufumbuzi zaidi wataalam walimshauri Mwananchi anayelalamika apeleke

Matangazo

  • Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Kidato cha Kwanza 2021-Tanzania Bara December 18, 2020
  • Wanafunzi waliochaguliwa Kujiunga Kidato cha Kwanza 2021-Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo December 18, 2020
  • TANGAZO LA KAZI May 25, 2022
  • Tangazo la Zabuni ya Wakala wa Usafi September 12, 2022
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • Das Kalambo Akabidhi Pikipiki 7 Kwa Watendaji Wa Kata

    February 21, 2023
  • Das Kalambo Akabidhi Pikipiki 7 Kwa Watendaji Wa Kata

    February 21, 2023
  • DC Kalambo Asisitiza Wakandarasi Kutopewa Muda Wa Nyongeza Kukamilisha Miradi Ya Maji

    February 16, 2023
  • Dc Kalambo Asisitiza Viongozi Wa Serikali Kusimamia Kampeni Ya Upandaji Miti

    February 08, 2023
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.