• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

KALAMBO YAANZISHA MKAKATI KUPATA MAKOCHA NA WAAMUZI MCHEZO WA NETBOLI.

Posted on: November 25th, 2025

Hamashauri ya wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa imeanzisha mpango mkakati wa kupata waamuzi na makocha wa mchezo wa netboli  kwa kuwajengea uwezo walimu wa michezo,maafisa michezo na wanafunzi wa shule za msingi na sekondari ili kujua sheria pamoja na mbinu mbalimbali za michezo.

Akiongea kupitia mafunzo hayo kaimu mkuu wa kitengo cha michezo utamaduni na sanaa wilayani humo Ndugu Amos Mmewa amebainisha kuwa lengo ni kuwawezesha walimu na wanafunzi kujua mabadiriko ya sheria mbalimbali za mchezo wa netboli.

Aidha ametumia fursa hiyo kuwataka washiriki wa mafunzo hayo kuyatumia mafunzo hayo katika shule na vitalu vya michezo kwa lengo la kukuza na kuendeleza mchezo wa netboli.

Hata hivyo baadhi ya walimu wa michezo wilayani humo ambao licha ya kuupongeza uongozi wa Halmashauari hiyo kwa kuanzisha mpango huo, wameomba mafunzo hayo kuwa endelevu kwani yatasadia kuendeleza na kukuza mchezo husika na hatimaye kufanya vizuri katika mashindano mbalimbali ikiwemo mashindano ya michezo ya UMITASHUMTA, UMISSETA na SHIMISEMITA.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KALAMBO YAANZISHA MKAKATI KUPATA MAKOCHA NA WAAMUZI MCHEZO WA NETBOLI.

    November 25, 2025
  • KALAMBO YAANZISHA MKAKATI KUPATA MAKOCHA NA WAAMUZI MCHEZO WA NETBOLI.

    November 25, 2025
  • TARURA KALAMBO YAKAMILISHA UWEKAJI MATUTA NA TAA ZA BARABARANI MJI MDOGO WA MATAI.

    November 24, 2025
  • TIMU YA MTAPENDA FC WILAYANI KALAMBO YAKABIDHIWA KOMBE NA MNYAMA NG’OMBE BAADA YA KUIBUKA NA USHINDI MICHEZO LIGI KUU NGAZI YA WILAYA

    October 27, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.