• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

KALAMBO YAPOKEA TREKTA NDOGO ZA MKONO 11 KUNUFASHA WAKULIMA.

Posted on: January 13th, 2026

Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa imepokea Trekta ndogo za mkono (PowerTillers) 11 kutoka Wizara ya Kilimo kupitia Tume ya Umwagiliaji ili kuongeza na kuimarisha Upatikanaji wa huduma za zana za kilimo katika mnyororo wa uzalishaji wa mazao ya kilimo kulingana na mahitaji ya wadau hususani wakulima wadogo.

Akikabidhi zana hizo mkuu wa wilaya hiyo Dkt, Lazaro Komba amesema lengo la serikali ni kuwawezesha wakulima kuongeza uzalishaji mazao ya nafaka na kuwaagiza maafisa kilimo kuweka utaratibu mzuri utakaowezesha mitambo hiyo kufanyiwa ukarabati mara kwa mara ili kuifanya kudumu kwa muda mrefu.

Aidha amebainisha kuwa Wakulima watazalisha kwa wakati na kwa urahisi na kuwezesha kupatikana kwa ziada ya mazao ambapo watauza na kuongeza ushuru wa mazao   utakaowezesha Halmashauri kukusanya mapato kwa wingi.

Mbunge wa jimbo hilo Mhe.Edfonce Kanoni ametumia fursa hiyo kuwataka wakulima kuzingatia kanuni bora za kilimo ikiwemo kushirikana na wataalam wa kilimo wakati wa kuandaaji mashamba.

Kaimu mkurugenzi wa halmashauri hiyo ambaye pia ni Mkuu wa Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi Ndugu Nicholas Mrango amebainisha kuwa Halmashauri imeanisha maeoneo yatakayofaa kujenga vituo vya zana za kilimo ikiwemo kituo cha kata ya Matai, Lyowa na Msanzi ambapo taratibu za kuanzisha ujenzi wa vituo hivyo zinafanywa na Wizara ya kilimo.

 ‘’kwa sasa zana hizi za kilimo zitatunzwa katika maeneo yaliyoanishwa chini ya uongozi wa serikali ya kata na vijiji kwa kushirikiana na Maafisa Kilimo na Maoperator.’’ Alisema Mrango.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KALAMBO YAPOKEA TREKTA NDOGO ZA MKONO 11 KUNUFASHA WAKULIMA.

    January 13, 2026
  • DC KALAMBO AKABIDHI PIKIPIKI 3 KWA MAAFISA MIFUGO

    January 09, 2026
  • DC KALAMBO AKABIDHI PIKIPIKI 3 KWA MAAFISA MIFUGO

    January 09, 2026
  • BILIONI 1.6 ZATOLEA NA SERIKALI KUJENGA CHUJIO LA MAJI KATIKA MJI MDOGO WA MATAI.

    January 07, 2026
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.